Na Mwandishi wetu Pwani
Naibu Waziri wa uchukuzi Mhe David Kihenzile amepongeza jitihada mbalimbali zinazofanywa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini(TPA) za uboreshwaji wa miundom… Read More
*Kampuni Kubwa Yenye Uzoefu wa Miaka 50 Yaonesha Nia Kuwekeza Nchini
*Mbibo Aielezea kuwa ni Safari Yenye Manufaa Makubwa kwa Tanzania
*TIC Wakaribishwa Kuanzisha Tawi Kucho… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa akikabidhiwa ofisi na aliyekuwa waziri wa wizara hiyo Dkt Angeline Mabula katika ofisi za wizara eneo la Mtumba jijini Dodoma… Read More
Baada ya miezi sita ya uzoefu wa Mfuko wa Utamaduni na Sanaa kutoa mikopo kwa wasanii nchini, umeingia mkataba na Benki ya CRDB kutanua wigo wa fursa hizo ili ziwanufaishe wananchi wengi z… Read More
Dodoma Julai 19, 2023
Tume ya Madini imetoa siku saba kwa wamiliki wote wa leseni za madini zikiwemo leseni za utafutaji wa madini, leseni za uchimbaji mdogo, wa kati na… Read More
Familia yetu yenye jumla ya watu sita pamoja na dada wa kazi tumeishi kwa furaha katika kipindi chote tukitegema kulishwa na mume wangu katika kazi zake za utafutaji huko Shirika la Reli… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Makamu wa Askofu Mkuu wa Kanisa la African Inland Church Tanzania (AICT) Dayosisi ya Shinyanga Zachayo Enock Bugota ameweka Jiwe la Msingi katika Nyumba ya… Read More
Mchungaji mmoja kutoka katika Kaunti ya Embu nchini Kenya amefikishwa mahakamani Jumatatu Juni 5,2023 kwa tuhuma za kumbaka muumini wa kanisa lake.
Pasta Benson Mwaniki Njuki wa Kanisa la… Read More
Mwenyekiti Bi. Mary Mtui (wa kwanza kulia), akiendesha kikao cha Kamati Tendaji ya Project ECHO Tanzania, Dodoma. Katikati ni Mratibu wa Project ECHO Tanzania Bw. Jacob Lusekelo, ambaye pi… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) leo Mei 11, 2023 imeendelea kutoa mafunzo kwa siku ya pili kwa Maafisa Biashara kutoka katika Mikoa 10 ya… Read More
Na Munir Shemweta, WANMM
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ametoa ufafanuzi wa viwanja vinavyomilikiwa kampuni ya Slipway Towers Ltd vilivyopo Msasani Penins… Read More
Mashua ya matibabu inayotoa huduma Ziwa Victoria
Na Mwandishi wetu
TANGU Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), ambayo ni kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti ilipoanzishwa mwaka 20… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
UKAGUZI wa Ufanisi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) ameimulika REA kuanzia mwaka 2015/2016 mpaka… Read More
Mkuu wa Chuo Cha Ustawi wa Jamii (ISW), Dkt. Joyce Nyoni akifungua Mafunzo kwa mabinti wanyakazi wa ndani 100 leo Machi 18,2023 katika ukumbi wa Chuo hicho Jijini Dar es Salaam********… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
MTU anapojitambulisha kuwa anafanya kazi mgodini, watu wengi hudhani kuwa kazi zilizopo ni kuingia chini ya ardhi kutafuta madini pekee. Dhana hiyo imesa… Read More
*********************NA MWANDISHI WETUMTUME na Nabii Shile Mwasha (Nabii wa Rufaa) wa Huduma ya Ufunuo wa Kristo na Kanisa la Miujiza lililopo Bunju Kilimani jijini Dar es Salaam amesema kuw… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch imeendelea kuwanufaisha wateja wake kwa kuwapa fursa zenye faida kubwa, ambapo kwa sasa watumiaji wake watawe… Read More
Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga John Tesha, akizungumza kwenye kikao hicho cha Baraza la watoto ngazi ya Halmashauri.Meneja wa Mradi wa Uimarishaji wa Mabaraza ya watoto (MKUA) kut… Read More
Karibu tujifunze biblia.. Daudi anasema.. Zaburi 39:4 “Bwana, unijulishe mwisho wangu, Na kiasi cha siku zangu ni kiasi gani……..” Hapa si kwamba Daudi anataka aijue… Read More
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV- RuahaHIFADHI ya Taifa ya Ruaha imesema kwa sasa kuna mradi mkubwa wa maji ambao unaendelea katika eneo la Malumbe Kijiji cha Tungamalenga kwa lengo la kuhakiki… Read More
MKUU wa Wilaya ya Dodoma,Jabir Shekimweri,akizungumza wakati wa kilele cha wiki ya huduma kwa wateja kwa Shirika la TANESCO Mkoa wa Dodoma hafla iliyoendana sambamba na ukataji wa keki pamoj… Read More
MFAHAMU KWA UFUPI MAREHEMU ASKOFU CANON, CAPT, GEORGE YORAM CHITETO, DAYOSISI YA MPWAPWA KANISA ANGLIKANA TANZANIA Na Maiko Luoga +255 762 705 839Mhashamu Baba Askofu Mkuu wa Kanisa Ang… Read More
Afisa Usalama wa Chakula (TBS), Bw.Edward Mwamilawa akimsaidia mteja kuingia kwenye mfumo kwa ajili ya kupata huduma ya kitaalum ya kusafirisha bidhaa nje ya nchi. Kaimu Meneja wa Kanda ya K… Read More
WIZARA ya Afya imetoa orodha ya watumishi walioitwa kazini kufuatia waombaji wa ajira za kada za afya zilizotangazwa kwenye tovuti ya wizara ajira.moh.go.tz tarehe 16 Aprili, 2022 hadi tareh… Read More
Na Denis Sinkonde, Songwe
Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Omary Mgumba amekataa ombi la madiwani wa Wilaya ya Songwe mkoani humo waliotaka wafanyabiashara ya mkaa waruhusiwe kuchukua mkaa wao u… Read More
Afisa ardhi mkuu , wizara ya ardhi,nyumba na maendeleo ya makazi Biswalo Makwasa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kuwajibika kulipa kodi huku akitoa Siku 60 kukamilisha zoezi hilo.M… Read More
Kaburi la mtoto Christian Samson lililofukuliwa***Mwili wa mtoto Christian Samson (1), aliyezikwa siku ya Jumapili katika makaburi ya kitongoji cha Kipondoda wilayani Manyoni mkoani Singida… Read More