Na mwandishi Maswayetu blog;
Baada ya Serikali ya Jamhuri ya MUUNGANO kuhakikisha
kwamba nafasi za kazi zote Tanzania zinatolewa kwa usawa na uwazi kwa vijana
wote wanaopambana kutafuta k… Read More
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mhe. Jabir Shekimweri,akizungumza wakati akifungua Mafunzo ya siku mbili ya kujenga uwezo kuhusu mfumo wa Anwani za Makazi kwa Maafisa Tarafa,Watendaji wa Ka… Read More
Gavana wa Benki kuu ya Tanzania Bw. Emmanuel Tutuba (katikati) akiwa pamoja na Mkurugenzi wa huduma kwa mlipa kodi (TRA) Bw. Richard Kayombo (kulia) wakiangalia jinsi ya kuskani kinyw… Read More
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoani Tanga (RTO) Wiliam Mwamasika akizungumza wakati kuelezea mpango kazi wa Usalama barabara kwa Jiji la Tanga unaendeshwa na Shirika la Amend… Read More
TUME ya Taifa ya Uchaguzi ni miongoni mwa taasisi mbalimbali za binafsi na serikali zinazoshiriki katika Maonesho ya Wakulima maarufu kama Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Nzugun… Read More
Afisa Rasilimali watu mwandamizi wa Barrick Crispin Ngwaji, akizungumza na wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali vya mkoani Mwanza wakati wa kongamano la kuwajengea uwezo lililoandaliwa na ta… Read More
Ofisa Rasilimali Watu wa Barrick North Mara ,Gloria Jimmy akizungumza katika kongamano la kuwajengea uwezo wanafunzi wa Vyuo vikuu vilivyopo mikoa ya Arusha na Kilimanjaro lililoandaliwa n… Read More
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Pauline Gekul akifuatilia kwa makini taarifa inayotolewa na Kamishna Msaidizi wa Magereza ACP Nkonge Edwin alipofika gerezani hapo na timu ya wataalam… Read More
Maofisa wa Benki ya Exim Tanzania akiwemo Mkuu wa kitengo cha Hazina na Masoko ya Dunia Bw Nelson Kishanda (katikati) wakikabidhi msaada wa chakula na mahitaji muhimu kwa mmoja wa wananchi… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania, Fatma Abdallah, akiwashukuru wageni waalikwa mbalimbali baada ya futari iliyoandaliwa na kampuni hiyo, Dar es Salaam, Miongoni mwa wa… Read More
Mkutano wa wadau wa Sekta ya Maziwa mkoani Shinyanga ukiendesha wa HEIFER International na Benki ya Maendeleo ya Kilimo TADB.Na Marco Maduhu, SHINYANGA.BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania… Read More
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akiwa amepanda Pikipiki wakati wa kukabidhi kwa Maofisa Ugani.Pikipiki ambazo walizokabidhiwa Maofisa Ugani Pikipiki ambazo walizoka… Read More
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dk. Yahaya Nawanda akiongoza kikao cha RCC.Na Marco Maduhu, SHINYANGAKAIMU Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dk. Yahaya Nawanda, ameongoza kikao cha kamati ya ushauri… Read More
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga (kulia) Dk. Yahaya Nawanda akimkabidhi vitendea kazi Mkuu wa wilaya mpya wa Kahama Mboni Mhita mara baada ya kumaliza kumuapisha.Uapisho wa Mkuu wa wilaya ya… Read More
Mwanamke anayefahamika kwa jina Grace Kihumba(30) mkazi wa Wang'ing'ombe mkoani Njombe anayedaiwa kuwa na matatizo ya akili anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kumshambulia baba yake mdogo a… Read More
Na Asha Bani, Mtanzania Digital
MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Zanzibar (THRDC-Zanzibar) unaendesha mafunzo kwa maafisa wa jeshi la polisi, maofisa kutoka ofisi ya Mwendesha Mashtak… Read More
Na Mwandishi Wetu, ManyaraWAJASIRIAMALI nchini wameendelea kuelimishwa kuhusiana na umuhimu wa kuthibitisha ubora wa bidhaa zao hatua ambayo itawasaidia kupata masoko ya uhakika na hivyo kuo… Read More
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, akizungumza kwenye kituo cha watoto wenye uhitaji maalum Manispaa ya Shinyanga, alipofika kugawa Lotion kwa ajili ya kulinda ngozi kwa watoto wen… Read More
Ofisa Mtendaji Mkuu wa benki ya Exim Tanzania Bw Jaffari Matundu akizungumza na wafanyakazi wa benki hiyo wakati wa hafla fupi ya kusherehekea maadhimisho ya miaka 25 tangu kuanzishwa kwa be… Read More
Wakulima wakiuza pamba yao kwenye kituo cha ununuzi AmcosPamba safi ikiwa kwenye kituo cha pamba ununuzi kwaajili ya kununuliwaMwandishi wa Makala haya Daniel Limbe akishuhudia ubora wa pamb… Read More
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Jumanne Sagini akikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Uhamiaji Mtwara,tarehe 4 Juni 2022, ikiwa ni sehemu ya ziara yake Mkoani Mtwara.Katika ziara hi… Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Wanyeulemavu, Prof. Joyce Ndalichako akimkabidhi tuzo ya mshindi wa pili Sekta za Fedha katika maadhimisho ya Usalama na afya Mahala pa Ka… Read More
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Jumanne Sagini akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Mwantumu Mdau Haji pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Rashid H… Read More
Afisa Msimamizi Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Paul Ramadhan (kulia) akimuelimisha mfanyabiashara wa duka la jumla sokoni Kariakoo jijini Dar es Salaam leo 06/01/2022 kuhusu m… Read More