Na Munir Shemweta, Ludewa
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (MNEC) Dkt Angeline Mabula amewataka wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kutangaza mafanikio ya serika… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa akikabidhiwa ofisi na aliyekuwa waziri wa wizara hiyo Dkt Angeline Mabula katika ofisi za wizara eneo la Mtumba jijini Dodoma… Read More
Waziri wa Ardhi Mhe. Dkt Angeline Mabula akizungumza katika kikao cha wakuu wa mikoa na makatibu tawala kinachoendelea katika chuo cha uongozi cha Mwalimu J K Nyerere kibaha mkoani Pwani tar… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza kwenye mkutano wa hadhara wilayani Ludewa wakati wa ziara yake katika mkoa wa Njombe tarehe 11 Agosti 2023. Ku… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimkabidhi hati milki sita za ardhi mkazi wa Ngara mkoani Kagera Godfrey Niyonzima wakati wa ziara yake mkoani humo.
****… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula (wa pili kushoto), Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega (wa tatu kushoto) na mkuu wa mkoa wa Kagera Fatma Mwassa (Kusho… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Uteuzi na Nidhamu ya Madalali na Wasambaza Nyaraka wa Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wi… Read More
Mkuu wa mkoa wa Mara Meja Jenerali Suleiman Mzee (wa pili kushoto) akiwaonesha Mawaziri Dkt Angeline Mabula, Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi (wa tatu kushoto), Waziri Ofisi ya… Read More
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga akibadilishana Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano kwenye sekta ya ardhi na Dkt. Mngereza Mzee Miraji, Katibu… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza wakati wa zoezi la kukabidhi Hatimiliki za Ardhi kwa wananchi waliorasimishiwa makazi yao katika kata za Muriet… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza kwa niaba ya Waziri Mkuu Kasim Majaliwa wakati wa ibada ya Harambee ya ujenzi wa shule ya Kanisa la Kiinjili la… Read More
Na Munir Shemweta, WANMM
Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imewafuturisha watumishi wake waliopo Wizarani na ofisi ya Kmishna wa Ardhi Msaidizi mkoa wa Dodoma.
Waziri wa Ardhi… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula akiwasilisha Makadirio ya Matumizi na Mapato ya Wizara yake kwa mwaka wa fedha 2023/24 kwa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ard… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akisalimiana na familia ya marehemu Bi. Naserian Parshuku alipokwenda kutoa pole kwa mume wa marehemu Philemon Parshuku eneo… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza katika kikao kazi cha kujadili na kuweka mikakati ya kukwamua changamoto za sekta ya ardhi katika mkoa wa Morogo… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza katika semina ya siku moja ya Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kuhusu Mradi wa… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendelo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula akiongea na viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani kuhusu zoezi la utatuzi wa migogoro ya ardhi ya Mitaa na Vijiji 975 z… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza na wananchi wa wilaya ya Kigamboni mkoani Dar es Salaam wakati wa zoezi la utoaji hati tarehe 19 Desemba 2022. K… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi akizungumza na uongozi wa wilaya ya Serengeti na watendaji wa sekta ya ardhi tarehe 12 Julai 2022Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Serenget… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi wa Tanzania Dkt Angeline Mabula (Kulia) na Waziri wa Ardhi, Miundombinu na Usafirishaji wa Korea Kusini Bw. Won Hee-ryong wakisaini hati ya maku… Read More
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Newala mkoani Mtwara Shamim Daudi Mwariko (kulia) alikabidhiwa hatimiliki za ardhi saba na Kamishna wa Ardhi Msaidizi mkoa wa Mtwara Rehema Mwinuka mkoani… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza katika mkutano na wananchi wa kijiji cha Nyachoka wilayani Serengeti mkoani Mara wakati wa zoezi la kukabidhi ha… Read More
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt.Angeline Mabula akizungumza katika mkutano wa majadiliano ya Kisekta kati ya Wizara na wadau wa sekta ya ardhi, Nyumba na Makazi uliofanyika… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza katika kikao na viongozi wa mkoa wa Mara kuhusiana na utatuzi wa migogoro ya matumizi ya ardhi katika vijiji 975… Read More