MRATIBU wa Tiba Utalii Dkt.Asha Mahita amesema kuwa kuna umuhimu Tanzania tukajiandaa kwa tiba Utalii na ili iweze kufanikiwa tunahitaji ubora wa huduma kwenye maeneo mbalimbali husika kwa… Read More
Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba akizungumza wakati wa ufunguzi wa Semina ya Kujadili Ushiriki wa Kampuni za Bima nchini kwenye miradi ya Nishati iliyofanyika tarehe 15 Julai, 2023 j… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi amelitaka Jeshi la Jadi Sungusungu kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi badala… Read More
Meneja Mkuu wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Cheick Sangare,akitoa zawadi ya jaketi la kinga ya ajali (Reflector) kwa mmoja wa waendesha punda za kubeba mizigo wakati wa mafunzo ya uhamasish… Read More
Mwenyekiti wa Bodi ya OSHA Dkt. Adelhelm Meru (mwenye suti) akikabidhiwa Sanduku maalimu lenye vifaa maalimu vya huduma ya kwanza na Safety Coordinator wa mgodi wa Bulyanhulu , Hassani Kal… Read More
Bishop Rose Mgeta akizungumza kwenye kongamano la uamsho wa ndoa lililoandaliwa na Kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni A jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Wagenimbalimbali wakijipatia c… Read More
Na John MapepeleWaziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa leo Machi 28, 2023 amefanya kikao na ujumbe wa Serikali ya Finland ulioongozwa na Balozi wa Finland hapa nchini… Read More
*********************NA MWANDISHI WETUMTUME na Nabii Shile Mwasha (Nabii wa Rufaa) wa Huduma ya Ufunuo wa Kristo na Kanisa la Miujiza lililopo Bunju Kilimani jijini Dar es Salaam amesema kuw… Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera Bunge na Uratibu Mhe. George Simbachawene (kushoto) akifafanua jambo wakati wa kikao na waandishi wa Habari Februari 7, 2… Read More
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Wakili Amon Mpanju,akizungumza wakati akifungua kikao kazi cha Wakuu wa Vyuo vinavyotoa mafunzo ya Malezi… Read More
Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga John Tesha, akizungumza kwenye kikao hicho cha Baraza la watoto ngazi ya Halmashauri.Meneja wa Mradi wa Uimarishaji wa Mabaraza ya watoto (MKUA) kut… Read More
Muonekano wa Tope likiendelea kusambaa kwenye makazi ya watu, mara baada ya bwawa la Mgodi wa Almasi Mwadui Kupasuka leo asubuhi, na kusababisha athari kwa wananchi CHAMA CHA DEMOKRASIA… Read More
Waziri wa Ujenzi , Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Dk. Khalid Salum Mohamed akizungumza na Menejimenti ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) wakati Waziri huyo alipotembelea Mamlaka hiy… Read More
Mkurugenzi wa Wateja wadogo wa Benki ya NBC, Elibariki Masuke (Kulia) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Benki Kuu Tanzania tawi la Mbeya Bw Ibrahimu Malogoi alipotembelea banda la maone… Read More
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Nape Moses Nnauye (Mb.) akiagana na Balozi wa China nchini Tanzania Mheshimiwa Chen Mingjian mara baada ya kuhitimisha mazung… Read More
Naibu Waziri Katiba na Sheria ambaye ni Mbunge wa jimbo la Kavuu Mhe. Geofrey Mizengo Pinda akizungumza na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Bi. Catherine Mashalla alipotembelea… Read More
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Serikali imesema inaendelea kuweka mikakati madhubuti namna ya kujikinga na kukabiliana na maafa ili kuepuka madhara makubwa yanayoweza kujitokeza na kuhatarisha us… Read More
Na Elizabeth Kilindi,Njombe
Zaidi ya kesi 57 za ubakaji kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari zimeripotiwa wilayani Ludewa Mkoa wa Njombe katika kipindi cha mwaka 2021.
Hayo yamebain… Read More
Na Dinna Maningo, TARIME.MABADILIKO ya hali ya hewa yamesababisha athari za Kiuchumi na Kijamii huku Serikali ya Nchi ya Tanzania ikitumia fedha nyingi kugharamia majanga vikiwemo vifo,upote… Read More
NA MWANDISHI WETU
BENKI ya NMB, kupitia Program ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR), imetoa msaada wa viti na meza 150 kwa shule za sekondari za Saranga ya Kimara na Mashujaa ya Sinza, pamoja na… Read More
Wanandoa hao wapya Zaheer Sarang na Nabeelah Khan (24) wamefariki dunia kwa shoti ya umeme huko Afrika kusini ikiwa ni siku moja tu tangu watoke kula fungate ‘honeymoon’.Kwa muji… Read More
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Pangani, Issaya Mbeje katikati akiteta jambo wakati wa ziara yaujumbe wa vikundi vya BMU kutoka katika halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo ulion… Read More