Na Dotto Kwilasa, DODOMA.
MIILI ya watu wanne waliokufa Kwa tuhuma za ujambazi Aprili 25,2023 majira ya saa 03:10 Jijini hapa tayari imeshatambuliwa na kufanyiwa taratibu za m… Read More
Mwanaume mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi waliomvamia usiku katika daka lake katika katika soko la Khayega eneo bunge la Shinyalu kaunti ya Kakamega nchini Kenya.Majambazi watat… Read More
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga Janeth MagomiNA HALIMA KHOYA, SHINYANGA.Mkazi wa Butengwa Kata ya Ndembezi Manispaa ya Shinyanga Richard Nzumbe ambaye ni wakala wa huduma za fedh… Read More
Wenyeji wa Kitengela wamelilia asasi za usalama kuwanusuru kutokana na utovu wa usalama unaoendelea kuwakosesha usingizi kila kukicha.Wenyeji hao wameripoti kuwa majambazi wanaowavamia… Read More
Mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 48, anapokea matibabu baada ya kushambuliwa na kulawitiwa na genge lisilojulikana katika Kituo cha Nderu eneo la Ndeiya, Kaunti ya Kiambu nchini Kenya.Uch… Read More
MLINZI wa Hospitali ya Kanisa Katoliki la Kijiji cha Mwanzugi wilayani Igunga, Peter Marco apata kifungo cha miaka 30 gerezani kwa kosa la kumuibia kwa kutumia silaha Sista Aline Nicette vit… Read More
Kaimu Kamanda wa polisi mkoa Kigoma Mendrad Sindano (kushoto) akitoa taarifa kwa waandishi wa habari (kulia) kuhusu tukio la ujambazji wa kutumia bunduki lililotokea wilayani Kakonko mkoani… Read More
Na MWAMVUA MWINYI,PWANIJESHI la polisi mkoa wa Pwani kwa kushirikiana na jeshi la polisi mkoa wa Morogoro limefanya operesheni maalum ya kudhibiti makosa ya jinai na kufanikiwa kuwaua majamb… Read More
Na Felix Mwagara, MoHA – Kibakwe.WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema Jeshi la Polisi limewanyamazisha majambazi kimyakimya katika maeneo mbalimbali nchini baa… Read More
Mfanyabiashara wa Rwanda amepigwa risasi na kuuawa katika manispaa ya Matola, kilomita chache kutoka mji mkuu wa Msumbiji, Maputo.Levocat Karemangingo alipigwa risasi takribani mita 50 kutok… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Dk. Philemon Sengati akizungumza na viongozi mbalimbali wakati akikaribishwa na kukabidhiwa rasmi ofisi, leo mjini ShinyangaNa Damian Masyenene, SHINYANGAMKUU mpya… Read More
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kuwaua majambazi wawili na kufanikiwa kukamata silaha bunduki moja iliyotengenezwa kienyeji inayotumia risasi za Shotgun.Ni kwamba mnamo tarehe 09… Read More
Mwalimu wa Shule ya Sekondari Kihenya, wilayani Kasulu mkoani Kigoma, ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi akiwa nyumbani kwake.Akithibitisha kutokea kwa tukio h… Read More
Na Ahmed Mahmoud ,ArushaJeshi la polisi mkoa wa Arusha baada ya kupata taaarifa fiche limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wanne wa ujambazi akiwemo Mganga wa Kienyeji wakiwa na silaha m… Read More