**************WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli alikuwa kiongozi mahiri na ameacha alama Taifa zima na ndiyo sababu analiliwa na… Read More
Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amesema alimuamini zaidi Rais wa awamu ya tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na ndiyo maana alimteua kuwa Waziri katika wizara tatu tofauti katika kipindi cha… Read More
Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amesema leo ni siku kubwa sana kwa Taifa la Tanzania, lakini pia ni siku kubwa kwa Zimbabwe kwani wananchi wake wanaomboleza na Watanzania kifo cha aliyek… Read More
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Machi 20, 2021 ameongoza maelfu ya wananchi katika Mkoa wa Dar es Salaam kuaga na kutoa hes… Read More
Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Mzee Ally Hassan Mwinyi amesema katika kipindi cha uongozi wa aliyekuwa Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli, nchi imepiga hatua kubwa kimaendeleo na kuushangaza… Read More
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akisoma majina ya Mawaziri pamoja na Manaibu Mawaziri walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli leo… Read More
Rais wa Tanzania John Magufuli amewaasa viongozi anaowateua kuridhika na nafasi wanazopatiwa akisema kuwa haiwezekani ukapata kila kitu.Magufuli ameyasema hayo alipokuwa akiwaapisha Bw. Idd… Read More
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa baada ya mazishi ya Dkt. John Magufuli , kinachofuata ni utekelezaji wa ahadi zote ambazo yeye na chama chake (Chama cha Mapinduzi) waliahidi wakati wa… Read More
Rais Museveni na Askofu Mkuu wa Kampala Cyprian Lwanga Kizito (kulia)****Askofu mkuu wa Kanisa Katoliki mjini Kampala Cyprian Kizito Lwanga amefariki akiwa na umri wa miaka 68, Kanisa limeth… Read More
Faraja Masinde -Dar es Salaam
JAJI mstaafu wa Mahakama ya Rufani ya Tanzania na Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Harold Nsekela amefariki dunia baada ya kuugua kwa m… Read More
Taarifa niliyoipokea kutoka ikulu jijini Dar es salaam ni kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Leo… Read More