Bw. Kalua Polikarpo, Mwanafunzi wa Mwaka wa Tatu (BSc. Ed) kutoka katika Idara ya Fizikia, Hisabati na Infomatiki ( PMI ) iliyo chini ya Kitivo cha Sayansi ( FoS ) abuni mfumo wa kudhibi… Read More
Huenda Adha ya usafiri na usafirishaji bidhaa inayowakabili wananchi wanaotumia barabara ya Kiranjeranje kwenda Ruangwa ikafikia tamati baada ya Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) mkoa… Read More
Dar Es Salaam Tanzania, 14 Mei 2024
Foundation for Civil Society (FCS) na TradeMark Africa wamesaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa kuboresha mazingira wezeshi n… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Katika jitihada za kuwahakikishia usalama wakulima Kampuni ya Bima ya Jubilee Allianz imetangaza kuanza kutoa bima ya mazao kwa wakulima.
Mpango huo umetang… Read More
Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), imeingia makubaliano ya kupeleka marubani wake kufundisha na kusimamia ndege mpya za Airbus A220 za Kampuni ya Ndege ya Ibom iliyopo nchini Nigeria.
Mku… Read More
Na Malima Lubasha, Mtanzania Digital
WENYEVITI 30 wa Vitongoji wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mugumu katika Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, wameandamana hadi ofisi ya Mkurugenzi… Read More
Wizara ya Kilimo imeendelea na mikakati kabambe ya uwekezaji kwenye miundombinu ya uhifadhi wa mazao ili kuhakikisha nafaka na mazao mbalimbali yanakidhi vigezo vya ubora katika soko na… Read More
Na Mbuke Shilagi Bukoba
Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imewataka wafanyabiashara wa bodaboda kulipa kodi kwa mwaka Tsh. 65,000/= ambapo kodi ya TRA inalipwa kwa awamu nne sawa na Ts… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Jumla ya Vijana 58 kutoka mikoa ya Tabora, Mwanza, Geita na Simiyu wamehitimu mafunzo ya kutengeneza Vihenge yaliyotolewa na Shirika la Kuhudumia Viwanda… Read More
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
MAMLAKA ya Usimamizi wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imesaini mkataba wa makubaliano na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini wenye thamani ya Dola za Ki… Read More
Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Daniel Machunda, akizungumza wakati wa semina ya siku moja kwa wadau mbalimbali iliofanyika mkoani
Kaimu Msajili na Mkuu wa FCT, Kunda Mke… Read More
Na Mwandishi wetu, Handeni.
Wananchi waliohama kwa hiyari kutoka eneo la hifadhi ya Ngorongoro kwenda Kijiji cha Msomera wilayani Handeni mkoani Tanga wamemuomba mkuu wa mkoa huo mhe. Balozi… Read More
Mbunge wa jimbo la Kavuu na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe, Geophrey Pinda akipata maelezo ya maendeleo ya ujenzi wa jengo la Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya M… Read More
*Teknolojia ya kuchaji haraka kuwapa suluhu watumiaji
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Kampuni maarufu ya simu za mkononi, Infinix, kwa ushirikiano na kampuni ya Mawasiliano, Vodacom Plc… Read More
Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya tendo la ndoa kikamilifu ,shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. Upungufu wa ngu… Read More
Katika kipindi cha Miaka Mitatu cha Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan madarakani, Serikali ya awamu ya sita imefanya mageuzi makubwa ya Miundombinu ya Ujenzi wa Barabara na madaraja Mkoa… Read More
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ilala Jijini Dar es Salaam, Mussa Zungu (katikati) akiwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa… Read More
NA MWANDISHI WETU
MWANZA. Rais Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepongezwa kwa juhudi kubwa anazozionesha za kuruhusu kuendelea ujenzi wa miradi mikubwa ya kimkakati, ikiwemo inayotekelezwa… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo wamekagua na kuridhishwa na Maendeleo ya ujenzi wa jengo la Utawala la Taasisi ya Utafiti… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam,Albert Chalamila amemtaka mkandarasi wa mradi wa barabara ya Kimara , Bonyokwa na Kinyerezi kuhakikisha anajenga … Read More
Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya tendo la ndoa kikamilifu ,shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. Upungufu… Read More
`
Serikali kupitia Wizara ya Afya imepokea vitendea kazi vyenye thamani ya Milioni 800 kutoka kwa wadau wa CDC kupitia THPS kwa ajili ya mapambano dhidi ya UKIMWI na Kifua Kikuu katika Mkoa… Read More
SWALI: Mimi kila nikilala, huwa kuna kitu kinanikaba koo, nakosa pumzi, kinanikandamiza naona kama nakwenda kufa au wakati mwingine ninaganda muda mrefu si
The post Je! Kuota unakabwa, mara… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akiwa ameshikilia hati wakati akisikiliza kero ya ardhi kutoka mmoja wa wananchi katika Manispaa ya Kahama.
Na Kadama Malunde … Read More
Makamu wa Rais Dkt Phillip Mpango akizindua mradi wa kuongeza upatikanaji wa maji kwa wastani wa lita 60 katika Jiji la Tanga na wilaya jirani za Muheza na Mkinga baada ya lita 45 za awali… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amemwagiza Katibu Mkuu Wizara yake kuunda timu ya wataalam kutoka Wilaya za Mkoa wa Dodoma na… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limeiomba Serikali kuangalia upya likizo ya uzazi kwa wanaojifungua watoto njiti ili wapate muda zaidi… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Kilomita 73 za barabara zinatarajiwa kujengwa kwa lami katika awamu ya pili ya Mradi wa Uendelezaji Jiji la Dar es Salaam (DMDP) na kuwaondolea kero wananch… Read More
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba (kulia), akisalimiana na Ofisa Mkuu wa Fedha wa Kampuni ya AngloGold Ashanti (AGA), Gillian Doran (kushoto) aliyemtebelea ofisini kwake wiki… Read More
Jina langu ni Nehemia, kwa sasa nipo Arusha, Tanzania, nimetoka mkoani Tanga, nilikuwa kule kwa miezi sita kikazi, nilikuwa nafanya kazi ya kusajili laini za simu.
Ndio, hiyo ndio kazi ya… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulika na Sera, Bunge na Uratibu, Ummy Nderiananga amepongeza Kamati ya Maafa ya Mkoa wa Dar es Salaam kwa ji… Read More
Na Safina Sarwatt, Moshi
Toleo la 22 la Mbio za Kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager International Marathon 2024 limezinduliwa Ijumaa mjini Moshi mkoani Kilimanjaro ikiwa ni ishara yakuanz… Read More
# IMF yaitaja Tanzania miongoni mwa mataifa 10 yenye madeni madogo zaidi barani Afrika
#Sera za uchumi za Rais Samia zaleta matunda makubwa nchini
Januari 18, 2024
Na Mwandishi Wetu… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Mbunge wa Segerea, Bonnah Kamoli, ameiomba Serikali kumpelekea fedha mkandarasi ili aongeze kasi ya ujenzi katika Shule ya Sekondari Bonyokwa.
Bonnah ametoa… Read More
*Asema amekuwa mfano Kitaifa na Kimataifa
*Apongeza Baraza la Vyama vya Siasa kukusanya maoni Miswada ya Sheria za Uchaguzi
*Awasisitiza kwenda bungeni kutoa maoni ya miswada
Na Mwandishi We… Read More
*Mwenyekiti wa Bodi ya NSSF amesema kitapunguza nakisi ya Sukari nchini
Na Mwandishi Wetu, Morogoro
Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) chini ya Mwenyekit… Read More
Mwonekano wa nje wa kituo Kituo cha kupoza umeme wa mradi wa Kenya Tanzania cha Lemguru kilichopo Mkoani Arusha kilichojengwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imetoa Mafunzo ya Usambazaji na Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa Viongozi na Watendaji… Read More
Mtayarishaji mahiri wa muziki kutoka nchini Nigeria Masterkraft ameingia studio tena na Majeed pamoja na Joeboy.
Baada ya muda mrefu kufanya vizuri na ngoma yake iitwayo Hosanna akiwa ame… Read More
Msanii Maarufu wa Nyimbo za Asili za Kabila la Wasukuma Bhuhulu Lusafisha / Buhulu Lusafija mkazi wa Ngaya Wilaya ya Kahama amefariki dunia.
Taarifa zinaeleza kuwa Msanii Bhuhulu Lusafisha… Read More
NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO
BODI ya Wakurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetembelea katika bandari ya Bagamoyo na Mbweni kwa lengo la kutazama mambo yanavyofanyika katika… Read More
Kapteni ya timu ya Barrick North Mara Runners Club, Sarah Cyprian, akifurahi baada ya kumaliza mbio za kilometa 42.2 za CapeTown Marathon zilizomalizika nchini Afrika ya Kusini Karibuni.
K… Read More
Rostam Aziz akisalimiana na Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema al Maarufu kwa jina la HH na kufikia makubaliano ya kuwekeza katika kuzalisha Umeme wa kutumia gesi nchini Zambia.
Rostam ali… Read More
MKUU wa Idara ya Rasilimali Watu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Mkoa wa Tanga Sharifa Coshuma akizungumza wakati akifungua mafunzo ya watalaka na watalakiwa yaliandaliwa… Read More
Sheikh maarufu Manispaa ya Shinyanga na Kanda ya Ziwa kwa ujumla Sheikh Msafiri Kitumbo ambaye pia ndiye Mratibu wa Maulid za Mtume Mohamed S.A.W Kanda ya ziwa amempongeza na kumfananisha… Read More