Afisa wa polisi wa Eldoret amejisalimisha kwa mamlaka baada ya kudaiwa kumpiga mumewe risasi 12 mara kumi na mbili kufuatia mabishano makali baada ya zamu yake.
Afisa huyo wa polisi wa ut… Read More
Waziri wa Kazi, Ajira na Uhusiano wa Viwanda Nchini Uganda, Charles Okello Engola ameuawa asubuhi hii kwa kupigwa risasi na Mlinzi wake (Bodyguard), Spika wa Bunge la Uganda Anitha Among a… Read More
Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Walter Kaaya (34) mkazi wa Simanjiro mkoani Manyara amenusurika kifo kwa kupigwa risasi na Paulo Laizer (43) mfugaji wilayani humo kufuatia mzozo wa mif… Read More
Mwanaume mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi waliomvamia usiku katika daka lake katika katika soko la Khayega eneo bunge la Shinyalu kaunti ya Kakamega nchini Kenya.Majambazi watat… Read More
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga Janeth MagomiNA HALIMA KHOYA, SHINYANGA.Mkazi wa Butengwa Kata ya Ndembezi Manispaa ya Shinyanga Richard Nzumbe ambaye ni wakala wa huduma za fedh… Read More
Kijana Amin Salum Mkazi wa Mtaa wa Nyamarembo Wilaya ya Geita Mkoani Geita Ambaye ni Dereva wa Pikipiki Maarufu Kama Bodaboda amefariki dunia kwa kupigwa risasi na watu wanaozaniwa kuwa maja… Read More
Kamanda wa Polisi Mkoa Tarime Rorya, ACP Geofrey Sarakikya***Kamanda wa Polisi Mkoa (RPC) Tarime Rorya, ACP Geofrey Sarakikya amesema mfanyakazi wa mgodi wa Barrick North Mara, Emmanuel Chac… Read More
Padri aliyetekwa asadikika kuuawaPADRI mmoja wa Kanisa la Katoliki anayefahamika kwa jina la John Mark Cheitnum ambaye alitekwa nyara akiwa na wenzake wawili, ameuawa kwa kupigwa risasi kati… Read More
Picha ya Marehemu Swalha akiwa na mume wakeMama mzazi wa mwanamke aliyefahamika kwa jina la Swalha ambaye ameuawa kwa kupigwa risasi saba kichwani na mume wake kwa sababu ya wivu wa mapenzi… Read More
Mfanyabiashara wa Rwanda amepigwa risasi na kuuawa katika manispaa ya Matola, kilomita chache kutoka mji mkuu wa Msumbiji, Maputo.Levocat Karemangingo alipigwa risasi takribani mita 50 kutok… Read More
MLINZI wa Hospitali ya Kanisa Katoliki la Kijiji cha Mwanzugi wilayani Igunga, Peter Marco apata kifungo cha miaka 30 gerezani kwa kosa la kumuibia kwa kutumia silaha Sista Aline Nicette vit… Read More
Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga ACP Richard AbwaoNa Kadama Malunde - Malunde 1 blogKijana aitwaye Mishael Masatu (29) amefariki dunia baada ya kujeruhiwa kwa kupigwa risasi kwenye makali… Read More
Basi la shuleDereva wa basi la shule ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya majambazi kuvamia msafara wa mabasi matatu huko Marakwet katika eneo la Kerio Valley nchini Kenya.Kulingana na komand… Read More
Watu 15 wameuawa kwa kupigwa risasi huku wengine 11 wakijeruhiwa baada ya kuvamiwa na majambazi katika baa moja iliyopo kitongoji cha Soweto nchini Afrika Kusini.Kwa mujibu wa taarifa za vyo… Read More
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, ACP Koka Moita.Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia Elibariki Geofrey mkazi wa Chekereni wilayani Arumeru, kwa tuhuma za mauaji ya mke wake Es… Read More
Kampala,Uganda
Waziri na Jenerali wa Uganda Katumba Wamala ametoa shukrani zake kufuatia shambulio la kupigwa risasi yeye Pamoja na binti yake lililotokea siku ya Jumanne asubuhi Juni 1, 20… Read More
Wakaazi wa Lessos eneo bunge la Kwanza, Kaunti ya Trans Nzoia nchini Kenya waliamkia habari za kusikitisha kumhusu askari jela (magereza) aliyejilipua ndani ya nyumba yake Jumatano, Novemba… Read More
Mama mzazi wa kijana Hamza Mohammed aliyeshambulia na kuua askari wanne kwa risasi kabla ya yeye kuuawa kwa kupigwa katika maeneo ya Ubalozi wa Ufaransa, Bi. Sofia Hassan Askari amefariki du… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam , Amos Makalla amewataka majambazi na wahalifu kujisalimisha Polisi na kukabidhi silaha zao huku akitangaza operesheni ya kuwasaka popote walipo.Makalla amesema… Read More
Na Mariam Mniga
Watu wa nchi mbalimbali za barani Afrika wamedai uapisho wa Samia SululuHassan kuwa na rais wa kwanza Mwanamke kwa Tanzania ni ishara kuwa bara la Afrika lina achana na mila… Read More
Watu watano, akiwamo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi, Pius Luhende, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Singida, wakituhumiwa kusababisha kifo cha mfugaji Peter Chambalo, anayedaiwa k… Read More