Na Okuly Julius, Dodoma
Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM kutoka Wilaya ya Muheza mkoani Tanga , Ndg. Hamisi Sadick Rajabu ameishauri Serikali kuharakisha zoezi… Read More
JAMII imetakiwa kubadili mitazamo hasi juu ya suala la ushiriki wa wanawake katika michezo mbalimbali ili nao waweze kupata haki yao ya msingi ya kuchangamana kupitia michezo hiyo.
Wito huo… Read More
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt Doto Biteko akizungumza wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani yaliyofanyika Jijini Tanga ambapo alimwakilisha Rais Dkt Sam… Read More
Winfrida Mtoi na Onesmo Kapinga
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro, amekitaka Chama Cha Soka Wilaya ya Temeke(TEFA), kulinda na kuendeleza heshima ya kimpira&nbs… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
“Wanawake tunapewa mbinu nyingi za kushiriki katika uchaguzi, tunapambana vya kutosha lakini tunarudishwa nyuma. Kuna vikwazo vingi tunaomba Serikali… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Adolf Mkenda akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa Mwaka 2024/2025.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia… Read More
Na Malima Lubasha, Mtanzania Digital
WENYEVITI 30 wa Vitongoji wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mugumu katika Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, wameandamana hadi ofisi ya Mkurugenzi… Read More
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa kushirikiana na ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali pamoja na Ofisi ya Afisa madini Mkazi Mkoa wa Mwanza wametoa elimu ya matum… Read More
Na Seif Takaza, Iramba
MKUU wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego amewapongeza wananchi wa Mkoa wa Singida kwa kushiriki kikamilifu kuadhimisha miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzib… Read More
Na Kadama Malunde & Marco Maduhu - Shinyanga
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi ambaye ni Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemav… Read More
Na Mbuke Shilagi Bukoba.
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wamefanya maandamano ya amani Aprili 22,2024 katika Mkoa wa Kagera wilaya ya Bukoba ambapo katika Kanda ya ziwa Victori… Read More
Na Mwandishi Wetu,
Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mhe. Jenista Mhagama amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha upatikanaji… Read More
Kamati ya wataalamu wa masuala ya habari Zanzibar (ZAMECO) imekuwa mstari wa mbele katika jitihada za kufuatilia mchakato wa marekebisho ya sheria za habari ikiwemo sheria ya Utangazaji No… Read More
*Makundi makubwa mawili yaibuka CCM Rory
*Mwenyekiti wa CCM, DC warushiwa kombora, wenyewe wajibu
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
ZIARA ya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM… Read More
Mbunge wa jimbo la Kavuu na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe, Geophrey Pinda akipata maelezo ya maendeleo ya ujenzi wa jengo la Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya M… Read More
*Atoa vitu mbalimbali vyenye thamani ya Sh milioni 10
*Ni katika kuelekea Sikukuu ya Idd
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa, (MNE… Read More
Na Malima Lubasha, Serengeti
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Serengeti, Mrobanda Japan na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya hiyo, Ayubu Makuruma wameguswa na mp… Read More
MJUMBE wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania(UWT)Taifa na Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji wa jumuiya hiyo Marima Ulega amekabidhi simu za mkononi tisa kwa ajili ya kufani… Read More
Wanafunzi wanaotarajia kuhitimu masomo ya kidato cha Sita katika Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wamehimizwa kutumia elimu waliyoipata shuleni kuleta mabadiliko katika j… Read More
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Shinyanga , Emmanuel Ntobi, ameshinda kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho mkoani humo, katika uchaguzi wa Machi… Read More
Makamu Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Shinyanga SHIRECU (1984) Ltd, Josephat Limbe akizungumza leo Jumanne Machi 26,2024 wakati wa Mkutano Mkuu wa 29 wa SHIRECU uliofanyika… Read More
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ilala Jijini Dar es Salaam, Mussa Zungu (katikati) akiwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa… Read More
Na Christina Cosmas, Morogoro
MBUNGE wa jimbo la Kilosa mkoani Morogoro Prof. Paramagamba Kabudi amewahimiza wazazi katika kijiji cha Kitange mbili kata ya Mtumbatu kuweka utaratibu wa… Read More
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Kada ya Uuguzi na Ukunga nchini imeiomba Serikali kupitia Wizara ya Afya kuharakisha mapitio ya mapendekezo yake juu ya maboresho pendekezwa ya mgawanyo wa madarak… Read More
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amesema kuwa Watanzania wote kwa ujumla wao wanajivunia uwezo mkubwa wa kiuongozi, anaouonesha Rais wa Jamhuri y… Read More
Na Joel Maduka,Geita
Kufuatia kuondoka kwa aliyekuwa mhasibu wa kanda ya ziwa wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA ,Upendo Furaha Peneza na kurudi chama cha mapinduzi CCM… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori nchini (TAWA) imesema kiwango cha Ujangili wa tembo kimeshuka katika hifadhi za Taifa ukilinganisha na hali iliyokuwe… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Katibu Tawala Wilaya ya Kinondoni, Stella Msofe amesema wamejipanga kuendelea kuwawezesha wanawake kiuchumi na kuwataka maofisa maendeleo ya jamii kusimamia… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
AngloGold Ashanti ambayo ni kampuni mama ya Geita Gold Mining Limited imemuahidi Rais Samia Suluhu Hassan kuendelea kuwa sehemu ya mabadiliko chanya ya u… Read More
MWENYEKITI wa Wanawake wa Chama Cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) Tawi la EWURA,Bi. Herieth Kasilima (kushoto),akiwaongoza baadhi ya Wafanyakazi Wanawake wa EWURA… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam,Albert Chalamila amemtaka mkandarasi wa mradi wa barabara ya Kimara , Bonyokwa na Kinyerezi kuhakikisha anajenga … Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesema mojawapo ya siri iliyouwezesha mgodi huo kuongoza nchini kwa kuongeza idadi kubwa ya wanawake walioa… Read More
Mmoja wa wahitimu wa programu ya mafunzo ya uongozi (FFT) kwa mwama huu, Kulwa Nyirenda anayefanya kazi GGML, akipokea cheti kutoka kwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Wato… Read More
Madiwani wa Halmashauri ya Msalala wakijionea mradi wa majisafi ya bomba uliojengwa kutokana na fedha za CSR Barrick North Mara katika kijiji cha Nyangoto kwa ajili ya matumizi ya wananchi… Read More
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Cuba, nchini Tanzania, Mhe. Yordenis Despaigne Vera. Katika Mazungum… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Azavel Lwaitama ameshauri vyama vya upinzani kuungana ili kuwe na upinzani w… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama (Mb) Peramiho amesema Serikali imefanya maboresho makubwa katika sekta ya e… Read More
Na Christina Cosmas, Morogoro
HALMASHAURI kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro
imemteua na kumpitisha Gervas Mbaruku Zugumbwa kugombea nafasi ya udiwani kwenye uchagu… Read More
Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital
Zaidi ya wachezaji wa gofu 120 kutoka klabu tatu tofauti wanatarajiwa kuchuana katika shindano ya mchezo huo ya ‘CRDB Inter Club Competition March… Read More
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi Jumatatu, Februari 26, 2024, alimtembelea kumjulia hali Mwenyekiti wa Umoja wa Mamlaka ya Viongozi wa Serikali za… Read More
Na Faraja Masinde, aliyekuwa Bagamoyo
Takwimu zinaonyesha kuwa biashara haramu ya viumbe pori inashika nafasi ya nne katika kundi la biashara haramu duniani ikitangaliwa na ile ya dawa za k… Read More
*Kusini kuchele, Utafiti wa Miamba na Madini wahamia Mtwara
*GST kufanya tafiti madini mkakati Mtwara
Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde ameshuhudia jaribio la urushwaji wa Ndeg… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
CHAMA cha Gofu cha Wanawake Tanzania (TLGU) kwa kushirikiana na familia ya Nkya wameandaa shindano linaloitwa ‘Lina PG Tour’ kwa ajili ya kum… Read More
Nora Damian na Esther Mnyika, Monduli
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ukomavu mkubwa wa kisiasa ulioonyeshwa na Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Edward Lowassa ni somo kwa Watanzania wanaotaka k… Read More
Na Mwandishi wetu, Mwanza
Jiji la Mwanza leo Februari 15, 2024 limeendelea kuwa katika hali ya utulivu licha ya kufanyika kwa maandamanc Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yen… Read More
Former Tanzania Prime Minister Edward Lowassa has on Saturday passed away while receiving treatment at the Jakaya Kikwete Cardiac Institute in Dar es Salaam.
Confirming his death was Tanz… Read More
#Viongozi wa CHADEMA wampongeza Rais kwa kufungua ukurasa mpya nchini kupitia falsafa yake ya R4
# Atajwa kuwa ni "Mama wa Demokrasia" wa Tanzania
Januari 24, 2024
Na Waandishi Wetu -Dar… Read More
Madiwani wa kata zote 41 za jijini Dodoma wakifatilia Mkutano ulioandaliwa na Shirika la Umeme (TANESCO) Mkoa wa Dodoma.
Na.Mwandishi Wetu-DODOMA
SHIRIKA la Umeme (TANESCO) Mkoa wa Dodom… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Taasisi ya Mtetezi wa Mama imepinga maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) yaliyopangwa kufanyika Januari 24, mwaka huu yakiwa na lengo… Read More