Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ametoa wito kwa vyuo vikuu kuzingatia ufanyaji wa tafiti zenye tija nchini ili kuchochea na kuleta ushindani katika gunduzi mbal… Read More
Na John Mapepele.
Serikali imesema hakuna mwananchi aliyenyanyaswa kijinsia, wala mifugo ya mwananchi yeyote (Ng’ombe 250) kuporwa au taarifa ya mtu yeyote kutaka kujinyonga pia haku… Read More
Mkoa wa Rukwa waingia katika historia mpya mara baada ya Serikali kupitia Wakala wa barabara Tanzania (TANROADS) kuingia mkataba na Kampuni ya M/s Beijing Construction Engineering Group Co… Read More
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro akiwasilisha taarifa inayohusu Muundo na Majukumu ya Wizara pamoja na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa Kamati ya Kudumu y… Read More
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Shinyanga, Athumani Matuma Kilati akizungumza wakati wa Kilele cha madhimisho ya Wiki ya Sheria katika Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Jukwaa la Wahariri Tanzania(TEF) limesema kuna dalili njema katika kupata mabadiliko ya sheria ya Vyombo vya Habari nchini na kwamba wanaimani kubwa na S… Read More
Na Faraja Masinde, Mtanzania
Ripoti ya matokeo ya utafiti unaoitwa ‘Ndoa za utotoni Tanzania’ iliyotolewa Mchi 2, 2017 inasema wasichana wanaoingia katika ndoa mapema p… Read More
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Sekta ya Uchukuzi, Zanzibar, Ndg. Shomari Omar Shomari (katikati), akizungumza na wadau wa usafiri kwa njia ya anga na maji kutok… Read More
Mwanasheria mkuu wa kwanza wa Kenya bwana Charles Njonjo amefariki dunia akiwa na miaka 101.Rais Uhuru Kenyatta ametangaza leo Jumapili, Januari 2,2022 taarifa ya kifo cha mwanasiasa huyo mk… Read More
*Samia aagiza mageuzi kwenye majeshi ya ulinzi na usalama* Mchujo mkubwa waja, wenye vyeti feki wasio na sifa kumulikwa* Mifumo ya nidhamu, ajira, maadili kufumuliwa* Mahusiano ya majeshi ya… Read More
Na Hadia Khamis, Mtanzania Digital
Waliokuwa wakazi wa Magomeni Kota wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuwasaidia kupata haki zao za msingi ikiwemo kupewa funguo ili waendelee kuishi ndani… Read More
********************Na WAF, Bungeni, Dodoma.Serikali ipo mbioni kuandaa kuani za kudhibiti bei za dawa nchini na tayari rasimu ya kanuni hizo zimeshawasilishwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serika… Read More
Na Mwandishi Wetu, Arusha
CHAMA Cha Wanawake Wanasheria Tanzania (TAWLA), tawi la Arusha, kimekutanisha madiwani kutoka majimbo matano ya mkoani Arusha na kuwapa mafunzo ya masuala ya uongoz… Read More
Meneja Mkuu wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu Cheick Sangare (Kulia) akibadilishana nyaraka za mkataba wa makubaliano na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Msalala,Mhe. Mibako Mabubu, ambapo mgodi hu… Read More
Waziri wa Kilimo Mhe. Prof. Aldolph Mkenda,akizungumza wakati akizindua rasmi Kongamano la Pili la Kimataifa la Ushirika lililofanyika katika Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) Septemba 01… Read More
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji mstaafu Semistocles Kaijage akizungumza jambo na Kamishna wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mh.Asina Omary wakati wa ufunguzi wa kikao kati ya NEC na… Read More
Na Mwandishi Wetu, Dodoma.
MBUNGE wa Viti maalumu, Agnesta Lambart alisimamisha Bunge kwa muda wa dakika tano baada ya kutoa hoja yake kuwa kubadili Taasisi ya Uhamiaji kuwa Jeshi kamili ni… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Eleuther Alphone Mwangeni kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uongozi ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kuanzi… Read More
Naibu Waziri wa Mambo wa Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Damas Ndumbaro
Na Ramadhan Hassan, Arusha
Hatma ya mgogoro wa kugombea kitalu cha uwindaji wa kitalii cha Lake Natr… Read More
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, ametoa siku saba kwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Kagera (RCO), Obassy Nguvillan, kupeleleza upya kesi ya mama aliyechomewa ny… Read More