Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Mikondo Miwili ya Uzalishaji Maji wa Kiwanda cha Suma JKT Bottling Jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Majeshi… Read More
Na: Zainab Ally – Mikumi
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Kamisha Benedict Wakulyamba amesema Miradi ya Ujenzi wa Viwanja vya ndege vinavyoendelea kujengwa katika Hif… Read More
Sheikh maarufu Manispaa ya Shinyanga na Kanda ya Ziwa kwa ujumla Sheikh Msafiri Kitumbo ambaye pia ndiye Mratibu wa Maulid za Mtume Mohamed S.A.W Kanda ya ziwa amempongeza na kumfananisha… Read More
Makamu Rais wa AngloGold Ashanti anayeshughulikia miradi endelevu Ghana na Tanzania, Simon Shayo (kushoto) akimpatia maelezo Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko kuhusu… Read More
Ni siku nyingine tena njema na bora Zaidi ya kukufungulia dunia ya michongo, Leo nakupata siri kwenye mchezo wa kasino mtandaoni ya Meridianbet ambao hakuna mtu atakayebaki bi… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula (wa pili kushoto), Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega (wa tatu kushoto) na mkuu wa mkoa wa Kagera Fatma Mwassa (Kusho… Read More
Mkuu wa Kitengo cha CRDB Wakala, Ericky Willy (wapili kushoto) akimkabidhi mshindi wa mwezi wa tano wa kampeni ya “CRDB Wakala 10 na Kitu”, Joshua Lembeli Loketa kadi ya Bajaj b… Read More
Mmoja wa wakimbiza Mwenge wa Uhuru kitaifa akishuka kwenye tangi la Maji lililopo Ishinabulandi kata ya Samuye katika Mradi wa Maji Masengwa awamu ya pili kata ya Masengwa Halmashauri ya… Read More
Unaweza kuwa mwenye bahati sana ukiingia nyumba ya mabingwa Meridianbet, michezo ya ubashiri soka, bonasi na kasino ya mtandaoni ni vyumba vya utajiri. Mbali na hilo kuna Sloti ya Weig… Read More
Fahamu mengi kuhusu siri za Misri ya kale unapocheza sloti ya Keops Wild kutoka kwa watengenezaji wa michezo ya kasino Spearhead.
Katika mchezo huu wa kasino ya mtanda… Read More
Mkurugenzi Mwanzilishi wa Makampuni ya Vanilla International Limited, Simon Mnkondya akionesha zao la Vanilla katika Shamba kubwa la Kilimo cha Vanilla kwa njia za kisasa katika Kijiji… Read More
Imagine upo ndani ya ndege na wewe ndio rubani wa hiyo ndege kuna raha eeh! Tulia hivyo hivyo nikusanue mchongo mkubwa wa kupiga mpuga wa kutosha unapocheza kasino ya mtandaoni ya … Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Makamu wa Askofu Mkuu wa Kanisa la African Inland Church Tanzania (AICT) Dayosisi ya Shinyanga Zachayo Enock Bugota ameweka Jiwe la Msingi katika Nyumba ya… Read More
Rais mstaafu Dk. Jakaya Kikwete (katikati) na Mkurugenzi Mkuu wa TACAIDS, Dk. Leonard Maboko (kushoto kwake) wakimkabidhi hundi ya Sh milioni 100 Mwenyekiti wa Mfuko wa Udhamini wa kudhi… Read More
Na John Mapepele.
Serikali imesema hakuna mwananchi aliyenyanyaswa kijinsia, wala mifugo ya mwananchi yeyote (Ng’ombe 250) kuporwa au taarifa ya mtu yeyote kutaka kujinyonga pia haku… Read More
Mikono ya mtoto aliyochomwa moto na mama yake mzazi
Na Suzy Luhende, Shinyanga
Jeshi la polisi Mkoani Shinyanga linamshikilia Grace Godwin(23) Mkazi wa Mtaa wa Sido Kata ya Ibi… Read More
Na Gustafu Haule, Pwani
MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge, ametoa muda wa mwezi mmoja kwa wananchi waliovamia shamba la Wizara ya Mifugo na Uvuvi lililopo katika Halmashauri ya Mji wa… Read More
Baadhi ya Walimu kazini waliohitimu kozi maalumu ya mafunzo mbinu yaliyofanyika kwa miezi sita katika Chuo cha Partage Montessori cha BukobaMkuu wa Wilaya ya Bukoba Erasto Yohana Sima akitoa… Read More
The wait its over! Mbivu na mbichi kujulikana ni timu gani itafuzu hatua ya robo fainali ya UCL, ni mechi za marudiano zikikwa zimepewa Odds kubwa Meridianbet, wakali wa kasino ya mtandaoni… Read More
Ipo Mbagala Charambe Magengeni.Nyumba ina:✔Frems (2)✔Vyumba (22)✔Siting room (1)✔Dining room (1)✔Umeme unawaka⏺Ukubwa wa eneo:⏺Urefu ni mita (2… Read More
Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow akizungumza na Waandishi wa habari katika Mgodi wa Bulyanhulu. Kushoto ni Meneja wa Barrick Tanzania, Melkiory Ngido, kulia ni Naibu… Read More
Na Dotto Kwilasa.Kila mwanaume anahitaji kuwa na mwonekano wa kipekee machoni pa watu bila kujali ni wakati gani au mahali gani..na hii ni kwa wanaume wa kisasa,wanaoenda na wakati .Mwonekan… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Kila kukicha teknolojia ya ubunifu inazidi kuchukua nafasi, Tanzania pia ni sehemu ya maeneo ambayo yanaendelea kunufaika na matunda ya utandawazi huo.
R… Read More
Tetemeko la ardhi limekikumba kisiwa kikuu cha Indonesia cha Java na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 40 na mamia kujeruhiwa, wamesema maafisa wa eneo hilo wamethibitisha.Tetemeko hilo len… Read More
Mwaka 2022, Marekani inatawala katika orodha ya miji 20 tajiri zaidi ulimwenguni ambapo na majiji sita ya Marekani yameingia katika orodha hiyo. Miji miwili ya Uswizi pia imeingia kwenye 20… Read More
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akipiga picha na wacheza ngoma ya Ugoyangi wakiwa na nyoka kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yam… Read More
***********************Serikali imejipanga kutathmini upya Mapori ya Akiba ya Luganzo-Tongwe, Igombe, Wembere, Inyonga na Ugalla ili kutatua changamoto ya muingiliano wa mipaka yenye hadhi t… Read More
Mhasibu wa Shirikisho la wakulima na wasindikaji Mkonge Kishapu (SHIWAMKI), Joseph Kulwa akielezea namna wanavyosindika zao la mkonge. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blogUsindikaji zao… Read More
Rais Samia Suluhu Hassan***Mwandishi Wetu, BukobaAkiwa ziarani Bukoba, mkoa Kagera, Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa serikali yake sasa itatoa ruzuku ya mafuta Shilingi bilioni 10… Read More