Na Mwandishi Wetu.
Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imeahidi kushirikiana na Benki ya NMB ili kuimarisha, kukuza na kuendeleza ujuzi na vipaji kwa vijana wa Kitanzania… Read More
Na Mwandishi Wetu
MANISPAA ya Tabora imesaini mkataba wa ujenzi wa Barabara za kilometa 10 chini ya Mradi wa Uboreshaji wa Miundombinu ya Miji ya Tanzania (TACTIC).
Mkataba huo umesainiw… Read More
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Komredi Daniel Godfrey Chongolo ameonekana kutoridhishwa na hatua ya Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya katika Halmashauri ya Sumbawanga Vijijini, ambap… Read More
Na Shemasi George Rugambwa- Seminari ya Ntungamo, Bukoba
Leo TEC imetoa tamko lake kuhusu mkataba wa kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam kati ya Tanzania na Dubai. Tamko lake limeelezewa kwa… Read More
Kaimu Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Shinyanga Mwamba Masanja.
Na Marco Maduhu, SHINYANGA
TAASISI ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Shinyanga, imembana Mkandarasi kutoka K… Read More
Baada ya miezi sita ya uzoefu wa Mfuko wa Utamaduni na Sanaa kutoa mikopo kwa wasanii nchini, umeingia mkataba na Benki ya CRDB kutanua wigo wa fursa hizo ili ziwanufaishe wananchi wengi z… Read More
Askofu Wilbard Ringia wa Kanisa la Mizaituni miwili,Pentecoste Assemblies(MMPA)akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 16,2023 Jijini Dodoma.
Na Dotto Kwilasa,Dodoma
Kutokana na kuwe… Read More
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo akiwahutubia Maelfu ya wananchi waliojitokeza katika mkutano wa hadhara Uwanja wa CCM Kirumba,jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.
********************… Read More
* Zitto, Lipumba wakwepa mtego, wautosa mkutano huo
* Wananchi wachache wahudhuria, wengi wachoshwa na siasa za uchonganishi
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Mkutano ulioandaliwa… Read More
Mbunge wa Manyoni Mashariki Mhe. Dkt. Pius Chaya, amewataka wananchi wake kupuuza upotoshaji unaoendelea mitandaoni kuhusu suala la Bandari, na kuzuka kauli za kwamba Mhe. Rais Samia ameu… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
BENKI Letshego na TCB Bank zimeingia mkataba maalum kuhakikisha wateja wao wanapata huduma bora na za uhakika za kifedha.
Akizungumza leo Dar es Salaam Me… Read More
Mfanyabiashara na Mwekezaji Mkubwa nchini Tanzania Salum Mbuzi maarufu Jambo/ Jamukaya akizungumza wakati wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme alipokutana na kuzungumza n… Read More
Na Mwandishi wetu - Malunde 1 blog
Baraza la wazee, viongozi wa dini na Machifu Mkoani Shinyanga wameuunga mkono makubaliano ya uwekezaji kwenye bandari ya Dar es salaam kati ya Serikali y… Read More
Na Mwandishi Wetu
Imekuwa ni kawaida kwa Shule ya Sekondari ya High View na ya Msingi High Mount zilizopo Gongo la Mboto Mwisho wa Lami, Ilala jijini Dar es Salaam kuibua na kuendeleza vipaj… Read More
Mashua ya matibabu inayotoa huduma Ziwa Victoria
Na Mwandishi wetu
TANGU Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), ambayo ni kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti ilipoanzishwa mwaka 20… Read More
Meneja wa Shirika la Nyumba (NHC) Angelina Magazi (kushoto) akimkabidhi nyaraka mbalimbali ikiwemo ramani ya ujenzi wa jengo la kisasa la kibiashara linalojengwa katika eneo la kiwanja ch… Read More
👉Ripoti mpya ya CAG iliyotolewa Aprili 6, 2023, yasema Serikali ya Awamu ya 5 ilivunja sheria ya nchi kwenye utoaji wa kandarasi ya reli
👉Ilikubali masharti mabovu ya… Read More
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji,akizungumza na Balozi wa Marekani nchini Mhe. Michael Battle ,mazungumzo yaliyofanyika katika Ofisi ndogo ya Wizara, jijini D… Read More
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi,akijibu maswali ya nyongeza bungen leo Januari 31,2023 jijini Dodoma yaliyoulizwa na Mbunge wa… Read More
Vifusi vikiwa barabaraniNa Halima Khoya - Malunde 1 blogWaendesha pikipiki maarufu 'Bodaboda' katika Manispaa ya Shinyanga wameiomba serikali kuharakisha ujenzi wa barabara ya kutoka Shinyan… Read More
Msajili wa Hazina Bw.Mgonya Benedicto akiwa pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Dkt. Elirehema Doriye akizindua Mkataba wa Huduma kwa Mteja wakati wa Maadhimisho… Read More
Kiungo wa Yanga Feisal Salum Abdallah (Fei toto) asubuhi ya leo Alhamis Disemba 29, 2022 ameichezea Timu yake ya zamani JKU kwenye mchezo wa Kirafiki dhidi ya Mlandege kwenye Uwanja wa Mao Z… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza wakati akifungua kikao cha Tathmini ya Utekelezaji wa Mktaba wa Lishe kwa kipindi cha 2021/2022 na Kampeni ya Polio kw… Read More
*Ni kwa ufadhili wa Umoja wa Ulaya
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) leo, Novemba 21, 2022 umesaini mikataba na wakandarasi watatu watakaotekeleza Mradi w… Read More
Mohammed Abdallah, mmoja wa madereva walioshiriki kwenye mgomo wakiilalamikia huduma mbovu za TICTS**** Tanzania yanusurika kupata aibu kubwa mbele ya Rais wa Congo* Ni kutokana na hud… Read More
Chelsea Imemuahidi Luis Campos Pesa ya Uhamisho ya Pauni Milioni 260Chelsea wanaripotiwa kuwa tayari kumpa mshauri wa soka Luis Campos bajeti ya uhamisho ya pauni milioni 260 iwapo ata… Read More
Na Asha Bani, Mtanzania Digital
KAMPUNI ya Sukari ya Kilombero (KSCL) imeanza kuwaunganisha wakulima na taasisi mbalimbali ili kuwapatia elimu na msaada katika kuboresha mbinu zao za kilimo… Read More