Mhandisi Erick Isack aliyesimama, akizingumzia namna ambavyo programu ya kuendeleza Kilimo na uvuvi, itakavyoboresha sekta ya uvuvi mkoani Lindi.
Wataalam kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu… Read More
Mikono ya mtoto aliyochomwa moto na mama yake mzazi
Na Suzy Luhende, Shinyanga
Jeshi la polisi Mkoani Shinyanga linamshikilia Grace Godwin(23) Mkazi wa Mtaa wa Sido Kata ya Ibi… Read More
Hadi kufikia umri wangu wa miaka 47, nimekuja kuamini hakuna kitu kibaya kama migogoro ya ardhi, watu wengi wamepoteza mali zao kama mazao na mifugo kisa migogoro ya ardhi.Jina langu ni Huss… Read More
Na Mwandishi Wetu, TaboraMKUU wa Mkoa wa Tabora Dk.Batilda Buriani ameipokea kwa mikono miwili Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao pamoja na Strong Women ambao wamefika kwenye mkoa huo kwa ajili… Read More
Katibu tawala msaidizi uchumi, uzalishaji, uwekezaji,viwanda na Biashara Bi.Aziza Mumba akifungua mafunzo kwa wasindikaji wa zabibu na bidhaa za zabibu jijini dodoma. Kaimu Mkuu kiteng… Read More
Naibu Waziri wa Maji MaryPrisca Mahundi, akizungumza kwenye mradi wa maji Mkula, mara baada ya kukagua mradi wa Maji Badugu wilayani Busega mkoani Simiyu.Naibu Waziri wa Maji Maryprisca Mahu… Read More
Na Derick Milton, Simiyu
Naibu Waziri wa Maji, Mhandisi Maryprisca Mahundi amewaagiza Mameneja wa Wilaya, Wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) nchi nzima, kuhakikisha mirad… Read More
Na Benny Mwaipaja, DodomaWAZIRI wa Fedha na Mipango Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Chama cha Watoa Huduma wa Simu Tanzania (TAMNOA), na kuwae… Read More
Kashi Salula akiwashukuru wajumbe baada ya kumchagua kuwa mjumbe Mwakilishi kutoka Jumuiya ya Wazazi CCM mkoa wa Shinyanga kwenda Jumuiya vijana CCM Mkoa wa Shinyanga (U… Read More
Rais Samia Suluhu HassanRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa tozo za miamala ya simu zitaendelea kuwepo kama kawaida ili kupata fedha za kuendeleza mirad… Read More
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe, amemkaribisha aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Mwanachama wa CCM Bernard Membe, kuunganisha nguvu kupitia vyama mbadala hii ni mara b… Read More
Ukiona mtu anaweza kufanya jambo lake bila uoga wa kuona wale wabishi na wakubwa zaidi yake kwenye hilo jambo nao wanafanya kwa wakati huo ni lazima ikupe maswali kidogo juu yake..Ndivyo amb… Read More
ILIPOISHIA“Wamesema ni kiasi gani?” “Milioni mia sita hamsini, ila nimezungumza nao, hadi kwenye milioni miatano watauza”“Mage umaipenda hii ny… Read More
Mazishi ya Tshekede PitsoChifu Tshekede Pitso wa kijiji kimoja Jozanashoek Sterkspruit, Eastern Cape nchini Afrika Kusini amewaacha wengi vinywa wazi baada kuzikwa ndani ya gari lake alilope… Read More
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa kesho Jumatatu atakuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa mashindano ya kitaifa ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (Umisseta) yatakayofanyika mjini Mtwara.Michez… Read More
Wafanyakazi wa Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Acacia kupitia migodi ya Buzwagi na Bulyanhulu na familia zao wamesherehekea siku ya Familia ‘Buzwagi and Bulyanhulu Family Day 2018&rsquo… Read More
Yanga dhidi ya Simba ni moja ya michezo mikali ambayo ungeweza kuifikiria ambayo pengine inachangiwa na ubora wa vikosi vyenyewe, ubora na mbinu za makocha lakini pia historia ya vilabu hivi… Read More