Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako akizungumza na Waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Septemba 20,2023 jijini Dodom… Read More
Kupitia utekelezaji wa muelekeo mpya ujulikanao kama Vision 2030, Serikali yaweka mkakati wa kuifanya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini (GST) kuwa kinara wa upatikanaji na utoaji… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Shirika la Amref Health Africa Tanzania kupitia Kituo Cha Kudhibiti Magonjwa Nchini Marekani (CDC) kwa ufadhili wa Mpango wa Dharura wa Rais… Read More
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Juma Mkomi, amewataka watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kuzingatia maadili ya utumishi w… Read More
Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo leo tarehe 9 Juni 2023 ameitaka NACTVET kuongeza usimamizi wa vyuo vya Mafunzo ya Ufundi Stadi ili kufikia ubora un… Read More
Hospitali ya Rufaa Kanda Bugando jijini Mwanza imepokea vifaa tiba vya upasuaji wa ugonjwa wa fistula ya uzazi kutoka shirika la Americares, vyenye thamani ya shilingi milioni 234.2 vitaka… Read More
Mwenyekiti Bi. Mary Mtui (wa kwanza kulia), akiendesha kikao cha Kamati Tendaji ya Project ECHO Tanzania, Dodoma. Katikati ni Mratibu wa Project ECHO Tanzania Bw. Jacob Lusekelo, ambaye pi… Read More
NA Mwandishi wetu, Mtanzania Digital
SERIKALI ya Tanzania na Canada zimepanga kushirikiana kwenye maeneo mbalimbali yakihusisha shughuli za utafiti wa madini, kujenga uwezo wa wataalamu na k… Read More
Na Hdija Omary, Lindi
MKUU wa Wilaya ya Lindi, Shaibu Ndemanga ameipongeza bodi ya Chama Kikuu cha Ushirika Lindi mwambao kinachojumuisha wakulima wa Halmashauri za Kilwa, Mtama na Lindi Man… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya muda mfupi ya Mawakala wa Mali Zisizohamishika yanayofanyika kwenye Chuo cha El… Read More
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (NEC) Idara ya Itikadi na Uenezi Ndugu Sophia Edward Mjema amewasili Ofisini kwake Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Sa… Read More
Mkurugenzi wa Shirika la Karibu Tanzania Organization, Maggid Mjengwa akizungumza wakati wa mafunzo ya kupinga Rushwa ya Ngono kwa Waendesha Baiskeli na Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga… Read More
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Philip Mpango (kushoto) akizungumza jambo na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda mara baada ya kufanya ziara ya ku… Read More
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki (wa pili kushoto) akizungumza na vijana waliochaguliwa kujiunga kwenye vituo atamizi (hawapo pichani) wakati alipotembelea Chuo cha Mafunzo ya… Read More
Na Mwandishi Wetu,HESLB,MKURUGENZI Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Abdul-Razaq Badru amesema taasisi hiyo itaendelea kuzingatia miongozo, sheria, kanuni na t… Read More
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Mustapher Siyani akifungua mafunzo elekezi ya siku tano yanayowashirikisha Naibu Wasajili na Watendaji wa Mahakama ambayo yanafanyika katika C… Read More
Na Derick Milton, Simiyu
Uongozi wa Mkoa wa Simiyu na Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), wameingia makubaliano ya kuwajengea uwezo watumishi wa serikali katika mkoa huo kwenye Halmashauri z… Read More
Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zuwena Omary wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga leo Alhamisi Aprili 28,2022 katika ukumbi wa SHI… Read More
Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Utalii Dkt. Shogo Mlozi Akizugumza kwenye ufunguzi wa mafunzo ya siku tano ya UVIKO 19 kwa wadau wa Sekta ya Utalii yaliyofanyika Februari 21,2022 K… Read More
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Dkt. Stergomena Tax akiwa kwenye kikao na Waandishi wa habari katika ofisi za Wizara Mtumba Jijini Dodoma ambapo ameeleza mafanikio ya Mwaka… Read More
Na Mwandishi wetuWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama amewaasa watumishi wa Ofisi yake kuendel… Read More
Mkuu wa Chuo cha Ualimu wa Elimu Maalum Patandi Bw.Luciana Segesela,akiwasilisha taarifa kuhusu ukarabati wa chuo hicho, Ununuzi/ugawaji wa vifaa mbalimbali pamoja na ujenzi wa Shule ya Seko… Read More
Mmoja wa askari wanyamapori aliyehitimu mafunzo ya kozi maalum namba 17/2021 katika chuo cha Mafunzo ya Uhifadhi Maliasili kwa Jamii (CBCTC) Likuyu Sekamaganga wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvu… Read More
Kaimu MKurugrnzi Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Bw. Daudi Kaali akizungumza mapema leo kuhusu shughuli za Ofisi hiyo pamoja na ukarabati wa Miundombinu ya Umwagiliaji unaoendela Mkoani Ir… Read More
Na Veronica KazimotoNaibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Msafiri Mbibo amewahimiza watumishi wa mamlaka hiyo kusoma na kuzingatia sheria za kodi ili kuhakikisha… Read More
Afisa Biashara wa Manispaa ya Singida, Erick Sinkwembe akitoa maelezo mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kuhusu kituo cha Urasimishaji na Ue… Read More
Nora Damian – Dar es Salaam
ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, ametumbuliwa akiwa jukwaani na Rais Dk. John Magufuli, ikiwa ni siku 572 tangu ateuliwe kushika w… Read More