NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
WANAHARAKATI wa Jinsia na Maendeleo kupitia Mtandao wa Jinsia Tanzania- TGNP, wameishukuru Serikali kulifanyia kazi suala la kikokotoo ambacho kimeongezw… Read More
Kamishna wa Tume ya haki za binadamu na utawala bora Nyanda Shuli akizungumza
Diwani wa Kata ya Bilele Mh Sharif Salum Taufiq akizungumza
Na Mbuke Shilagi Kagera… Read More
Wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara, Mtaa wa Ulongoni A
Juni 8, 2024
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwa kushirikiana na Kampuni Tanzu ya GASCO limeendea kuelimisha… Read More
Na Chedaiwe Msuya, WF, Kigoma
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma, Kanal Anthony Mwakisu amewataka Wananchi kukopa kwenye taasisi za fedha zilizosajiliwa na Serikali na kutambulika… Read More
Na,Chedaiwe Msuya-Wizara ya Fedha-Kigoma.
Wananchi Mkoani Kigoma wametakiwa kujenga utamaduni wa kuwekeza fedha zao kwa kununua Hati Fungani mbalimbali zinazouzwa na Serikali ili iwe moj… Read More
SHIRIKA la Grumeti Fund kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii imewaleta pamoja Wanafunzi wa kike 704 na wakiume 634 kutoka katika shule za Tirina,Chamriho na Hunyari Wilayani Bunda, kwa… Read More
Chuo cha Sayansi za Afya Kolandoto Shinyanga kimeshiriki maadhimisho Kitaifa ya Elimu, ujuzi na ubunifu yanayofanyika jijini Tanga kwenye viwanja vya Shule ya sekondari ya Popatlal.
Akizun… Read More
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeungana na mataifa mengine duniani kufanya maadhimisho ya siku ya Vipimo ambayo hufanyika Mei 20 kila mwaka ambapo… Read More
Mshauri wa masuala ya mabadiliko ya tabianchi kutoka ForumCC Tanzania, Rebecca Muna
Na Christina Cosmas, Morogoro
WITO umetolewa kwa wananchi kuongeza uelewa na utayari k… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Shinyanga imetoa elimu ya Kodi kwa Wanafunzi wanachama wa Vilabu vya Kodi kutoka shule za Msingi, Sekond… Read More
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa kushirikiana na ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali pamoja na Ofisi ya Afisa madini Mkazi Mkoa wa Mwanza wametoa elimu ya matum… Read More
Na Oscar Assenga,KOROGWE.
KAMPENI ya Usalama barabara inayotolewa na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana an Shirika la Amend Tanzania kupitia Ubalozi wa Uswis nchini umewafikia waendesha pikip… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Jumla ya Vijana 58 kutoka mikoa ya Tabora, Mwanza, Geita na Simiyu wamehitimu mafunzo ya kutengeneza Vihenge yaliyotolewa na Shirika la Kuhudumia Viwanda… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Tanga akizungumza wakati wa ziara ya kutembelea wakulima wa zao hilo katika Mtaa wa Sahare Kijijini Kata ya Mzingani Jijini Tanga ambao pia alizungumza na wakulima w… Read More
Na Marco Maduhu,SHINYANGA
MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Anamringi Macha,amefungua Rasmi Semina ya Familia,Malezi,Biashara na huduma za Afya, ambayo inaendeshwa na Kanisa la Waadventista Was… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
WASHINDI 56 Promosheni ya Mtoko wa Kibingwa msimu wa 07 kuitazama Derby ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba itakayofanyika kesho kwenye uwanja wa Mkapa ji… Read More
Meneja wa Barrick nchini, Melkiory Ngido (kulia) akimkabidhi mwanzilishi wa Maktaba ya Jamii ya Martha Onesmo iliyopo Mwanga mkoani Kilimanjaro kwa mwazilishi wake,Jennifer Dickson (katik… Read More
Na Dotto Kwilasa, DODOMA..
Wizara ya Afya, kwa kushirikiana na wadau wa
maendeleo imeandaa kampeni ya kitaifa ya kutoa,Chanjo ya Kukinga saratani ya mlango wa Kizazi kwa was… Read More
*Teknolojia ya kuchaji haraka kuwapa suluhu watumiaji
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Kampuni maarufu ya simu za mkononi, Infinix, kwa ushirikiano na kampuni ya Mawasiliano, Vodacom Plc… Read More
Picha ikionesha moja ya chungu cha maua kilichowekwa kando ya barabara kikiwa kimewekwa uchafu ambao haukujulikana umewekwa na nani.
Na Dotto Kwilasa,DODOMA
HALMASHAURI ya Jiji… Read More
Wagombea wa vyama mbalimbali wakiangalia fomu za uteuzi wa wagombea walioteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kugombea nafasi ya udiwani Kata ya Kimbiji iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya K… Read More
*Watu zaidi ya 30,000 wahudhuria
Na Mwandfishi Wetu, Mtanzania Digital
Zaidi ya watu 30,000 kutoka ndani na nje ya Korea Kusini wameshiriki katika maadhimisho ya sherehe za kuadhimisha kumbu… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori nchini (TAWA) imesema kiwango cha Ujangili wa tembo kimeshuka katika hifadhi za Taifa ukilinganisha na hali iliyokuwe… Read More
Na Mwandishi wetu, Mwanza
Tatizo la upatikanaji maji na upungufu wa mabweni katika shule za sekondari mkoani Mwanza yamewaibua wanawake ambao wameiomba Serikali kutatua changamoto hizo pamoj… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Machi 8, kila mwaka Wanawake kote duniani huungana kuadhimisha SIKU YA WANAWAKE DUNIANI ambapo Kaulimbiu ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake 2024 inasema;… Read More
Na Rose Ngunangwa, Dar
Wadau wa teknolojia ya kimtandao mwishoni mwa wiki waliadhimisha Siku ya Usalama Mtandaoni kwa kufanya majadiliano yenye lengo la kukabiliana na upotoshaji na taari… Read More
Makamu wa Rais Dkt Phillip Mpango akizindua mradi wa kuongeza upatikanaji wa maji kwa wastani wa lita 60 katika Jiji la Tanga na wilaya jirani za Muheza na Mkinga baada ya lita 45 za awali… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
KAMPUNI namba moja ya michezo ya kubashiri nchini Betika imezindua rasmi Kampeni yake kubwa ya “Mtoko wa Kibingwa” kwa Msimu wa 7 kwa wateja… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Licha ya Waziri wa Madini, Anthony Mavunde kuagiza Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika Mgodi wa Ikinibushiu, wilayani Bariadi mkoani Simiyu wapewe leseni… Read More
Mombasa Governor Abdulswamad Sheriff Nassir has issued a stern warning to illegal gas traders in the county.
The Governor was speaking after conducting an inspection of such businesses in… Read More
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba (kulia), akisalimiana na Ofisa Mkuu wa Fedha wa Kampuni ya AngloGold Ashanti (AGA), Gillian Doran (kushoto) aliyemtebelea ofisini kwake wiki… Read More
NA MWANDISHI WETU, DODOMA
SHIRIKA la AMEND Tanzania ambalo linajihusisha na utoaji wa elimu ya usalama barabarani limepongezwa na maofisa usarishaji maarufu bodaboda katika Jiji la Dodoma… Read More
MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) wanaendesha mafunzo ya masuala ya uongozi wa kijinsia ili wanajamii waweza kuenzi nguvu za pamoja, na kuhusisha wanawake katika ngazi za maamuzi ikiwa ni… Read More
Madiwani wa kata zote 41 za jijini Dodoma wakifatilia Mkutano ulioandaliwa na Shirika la Umeme (TANESCO) Mkoa wa Dodoma.
Na.Mwandishi Wetu-DODOMA
SHIRIKA la Umeme (TANESCO) Mkoa wa Dodom… Read More
Afisa Udhibiti Ubora TBS, Bw. Felix Makarius akitoa elimu kwa baadhi ya wananchi waliotembelea banda la TBS katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara Zanzibar kwaajili ya kusherehekea miaka… Read More
Taasisi za Wakala wa vipimo za Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania (WMA) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (ZAWEMA) zimetiliana saini hati ya makubaliano ya ushirikiano (MoU) i… Read More
Mkurugenzi wa Uwezeshaji Kiuchumi na Maendeleo ya Sekta Binafsi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Bw. Condrad Millinga akizungumza wakati wa kikao cha mafunzo cha wafanyabi… Read More
Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Joseph Modest Mkude akizungumza wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Nusu Mwaka wa wadau wa maji Wilaya ya Kishapu ulioandaliwa na RUWASA Kisha… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa SHUWASA, Mhandisi Yusuph Katopola akitoa taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya SHUWASA kwenye mkutano na waandishi wa habari leo Alhamisi Januari 4,2024. Kushoto ni A… Read More
TAARIFA KWA UMMA JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI YA UANDISHI WA HABARI
Klabu ya Waandishi wa Habari ya Mkoa wa Mwanza (MPC), ni klabu iliyosajiliwa kwa sheria ya Society Act Mwaka 1994 na… Read More
Na Mwandishi Wetu, Kondoa
Halmashauri ya wilaya ya kondoa, mkoani Dodoma, kwa mwaka wa fedha 2023/2024, imeandaa bajeti yenye mtazamo wa Kijinsia kwa kujenga miundombinu ya vyoo vya shule… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kampuni ya Uuzaji na Usambazaji wa Matofali na vifaa vya ujenzi maarufu Jenga na Mimi Investment imetoa zawadi ya mahitaji ya Sikukuu ya Krismasi na Mw… Read More
Na Mwandishi wetu ETE
Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Ecoblue Conservancy kwa kushirikiana na ETE, HUDEFO, Mazingira Plus, TCCI , MBRC the Ocean, Chuo cha NIT, wanafunzi wengine wa vyuo… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Infinix inaendelea kutoa zawadi kwa wateja wake katika msimu huu sikukuu ya Christmass na Mwaka mpya ambapo wateja wanaende… Read More
WAZIRI wa Kilimo Hussein Bashe kulia akimgaia mche wa Mbegu ya Mchikichi zinazozalishwa na Shamba la Wakala wa Mbegu Asa Mkinga Mkulima wakati wa halfa ya ugawaji miche hiyo shamba la Mwele… Read More
Afisa Forodha Mkuu wa Sekretarieti ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bw. Donald akiwasilisha mada kwa Wajasiriamali katika Maonesho ya Nguvu Kazi/Jua Kali yanayofanyika katika viwanja vya… Read More
Na Dotto Kwilasa,Dodoma
Ikiwa ni Siku ya kilele cha Wiki ya mlipa Kodi,Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)Mkoa wa Dodoma imeadhimisha siku hiyo kwa kurudisha shukrani kwa jamii ambapo i… Read More
Mwonekano wa nje wa kituo Kituo cha kupoza umeme wa mradi wa Kenya Tanzania cha Lemguru kilichopo Mkoani Arusha kilichojengwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekabidhi Tanki la kuhifadhia maji lenye ujazo wa lita 10,000 katika Hospitali ya Wilaya ya Dkt. Jakaya Mrisho Ki… Read More
Mkurugenzi wa Daftari na Tehama , Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC Bw. Geofrey Mpangala akishuhudia wakati msimamizi wa kituo cha Masempele katika Kata ya Ng'ambo , Bi. Mwatano Juma Gervas… Read More