Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Jeshi la Polisi linawashikilia watuhumiwa 12 na wengine limewafikisha mahakamani kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo kukamatwa noti bandia 15 ze… Read More
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) limeanza na zoezi la kawaida la usajili wa watoa huduma binafsi na utoaji vibali vya uen… Read More
Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Seleman Jafo akiwa wilayani Kishapu kuangalia utekelezaji wa miradi ya kuhimili mabadiliko ya tabia nchi.
Na Marco Maduhu, KI… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
MTU anapojitambulisha kuwa anafanya kazi mgodini, watu wengi hudhani kuwa kazi zilizopo ni kuingia chini ya ardhi kutafuta madini pekee. Dhana hiyo imesa… Read More
Tunapoelekea kufunga mwaka 2022, ubalozi unatoa shukrani za dhati kwa wadau mbalimbali kwa ushirikiano wao uliowezesha utekelezaji wa Majukumu ya Ubalozi. Katika Mwaka 2022 mambo mbalimbali… Read More
AFISA Masoko Mwandamizi wa TASAC Martha Kelvin akimuonyesha mmoja wa watumiaji wa vyombo vya majini namna ya kuvaa jaketi la uokoziNa Mwandishi Wetu,MorogoroSHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzan… Read More
Naibu Waziri Katiba na Sheria ambaye ni Mbunge wa jimbo la Kavuu Mhe. Geofrey Mizengo Pinda akizungumza na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Bi. Catherine Mashalla alipotembelea… Read More
Meneja wa kanda ya magharibi wa benki ya NMB Sospeter Magesse (aliyesimama kushoto) akitoa maelezo kwa wanachama wa klabu ya biashara ya benki hiyo wa wilaya ya Kasulu na Kibondo kuhusu matu… Read More
Na Asha Bani, Mtanzania Digital
KAMPUNI ya Sukari ya Kilombero (KSCL) imeanza kuwaunganisha wakulima na taasisi mbalimbali ili kuwapatia elimu na msaada katika kuboresha mbinu zao za kilimo… Read More
1. UtanguliziKutokana na mwenendo wa ugonjwa wa corona (UVIKO-19) nchini, Kamati ya Wataalamu imeainisha maeneo mahususi yanayohitaji kutiliwa mkazo kupitia afua za kupunguza msongamano kati… Read More
Wananchi wa vijiji vya Kagunga na Zashe wilaya ya Kigoma mkoani wakisikiliza maelezo kuhusu utoaji wa taarifa kwenye vituo vya taarifa na maarifa kusaidia kutoa taarifa za vutendo vya… Read More
Renatha Kipaka, Muleba
Wadau wa Uvuvi katika kata ya Goziba, wilayani Muleba, mkoani Kagera wamemuomba Mkuu wa Wilaya ya hiyo, Toba Nguvila, kusimamia usalama wao ili waweze kuendesha shughu… Read More
Na Nyemo Malecela, Kagera
Imetajwa asilimia 90 ya waathirika wa biashara haramu ya usafirishaji wa binadamu nchini ni wasichana wenye umri kati ya miaka 12 na 19.
Takwimu hiyo imetajwa kweny… Read More
Na Mwandishi Wetu, TangaBenki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeidhinisha mkopo wa kiasi cha shilingi 435,500,000/- kwaajili ya uanzishwaji wa kiwanda kidogo cha kusindika koro… Read More
Wajasiariamali wanaowezeshwa na kampuni ya Barrick wakionesha bidhaa zao wanaozalisha***Wawakilishi wa vikundi vya wajasiriamali kutoka kutoka vijiji vinayozunguka mgodi wa dhahabu wa Barric… Read More
Shirika la Bima la Taifa Tanzania (NIC) limetoa mchango wa shilingi 14, 700,000 kwa ajili ya kufanikisha mashindano ya soka ya Kombe la Mapinduzi ya mwaka huu yanayotarajiwa kuanza tar… Read More
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Raslimali watu wa wizara ya viwanda na biashara Bi Veronica Nchango akizungumza wakati akifunga mafunzo ya KAIZEN kwa watumishi wa Wizara hiyo yaliyof… Read More
Na; Mwandishi WetuKamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria imeipongeza Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kwa mikakati iliyoweka katika kuwajengea uwezo v… Read More