Mwenyekiti wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akizungumza wakati wa ziara yake ya kukagua mradi wa kilimo cha… Read More
Inflame Appliances Ltd. inajizolea sifa kubwa katika soko la vifaa vya jiko la India. Kampuni hii iliyopewa cheti cha ISO 9001:2015 ni miongoni mwa wazalishaji wakuu wa vifaa vifuatavyo:… Read More
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) akiangalia bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na Kiwanda cha kuzalisha nyaya za umeme pamoja na transfoma cha Elsewe… Read More
Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk.Ashatu Kijaji, amesema Tanzania ipo tayari kuzalisha bidhaa zake yenyewe na zenye kiwango cha juu na kuweza kuhudumia… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Mkonge ni moja kati ya zao la biashara Tanzania,asili ya zao hili ni Mexico na baadae likasambaa katika nchi za India na Tanzania mwaka 1892.
Inael… Read More
*Kampuni Kubwa Yenye Uzoefu wa Miaka 50 Yaonesha Nia Kuwekeza Nchini
*Mbibo Aielezea kuwa ni Safari Yenye Manufaa Makubwa kwa Tanzania
*TIC Wakaribishwa Kuanzisha Tawi Kucho… Read More
Waziri wa Nchi – Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Prof. Joyce Ndalichako akizungumza na baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya J… Read More
Mbunge wa Jimbo la Lupembe mkoa wa Njombe Edwin Swale ameiomba serikali kuharakisha ujenzi wa barabara ya Lami kutoka Kibena Lupembe hadi Madeke ikiwa ni maagizo ya Rais wa Jam… Read More
Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Seleman Jafo akiwa wilayani Kishapu kuangalia utekelezaji wa miradi ya kuhimili mabadiliko ya tabia nchi.
Na Marco Maduhu, KI… Read More
Mhadhiri kutoka Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Dkt. Cecilia China (Kulia) akionyesha dawa ya asili ya kusindika ngozi ambayo inasaidia kuondoa matumizi na uteg… Read More
Mkutano wa wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu Mwakitolyo namba 5 wilayani Shinyanga wa kusoma mapato na matumizi.Na Marco Maduhu, SHINYANGAKIWANDA cha Uchenjuaji dhahabu (NAPOL ELUTION P… Read More
Na Dotto Kwilasa,DODOMAILI kukuza Mitaji itakayowezesha kuzifikia fursa zitakazoboresha maisha ya wananchi hususani wa pembezoni, Serikali kupitia Mfuko wa SELF Microfinance Fund (SELF MF)um… Read More
Kiwanda hicho kikiteketea.KIWANDA cha kutengeneza magodoro na mabati cha GSM kilichopo Mikocheni Jijini Dar, leo kimeteketea kwa moto na kuzua taharuki eneo hilo.Akizungumza na mwandishi wet… Read More
Na Mwamvua Mwinyi,PwaniJESHI la polisi mkoani Pwani ,linamshikilia mtuhumiwa Shaban Athuman 61 mkazi wa Kwamakocho kata ya Mandela Chalinze Pwani ,kwa kosa la kumiliki kiwanda cha kutengenez… Read More
Na Eliud RwechunguraKamati ya kudumu ya Bunge Viwanda, Biashara na Mazingira ikiongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. David Kihenjile (Mb) na Makamu Mwenyekiti Mhe. Eric Shigongo i… Read More
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana Ajira na Wenye Ulemavu) Prof. Joyce Ndalichako(kulia) akizungumza na mwekezaji wa kiwanda cha vinywaji cha U-fresh Food Limited (Wapili kus… Read More
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge la Viwanda, Biashara na Mazingira wakiongozwa na Mwenyekiti wao Mhe.David Kihenzile wakitazama namna ya uhifadhi maji taka katika kiwanda cha kutengeneza… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Zaidi ya tani 2,000 za mkaa mbadala zinatarajiwa kuzalishwa kila siku na Kikundi cha Sauti ya Jamii Kipunguni ili kunusuru uharibifu wa mazingira unaosab… Read More
Rais Samia Hassan Suluhu akiweka jiwe la Msingi katika Chuo cha VETA Mbarali Rais Samia Hassan Suluhu akiweka jiwe la Msingi katika Chuo cha VETA Mbarali Baadhi ya Mawaziri walioko katika Ms… Read More
Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba (wa pili kutoka) akizungumza na Meneja wa Kiwanda cha KUZA Afrika, Rob Clowes ambacho kinachakata maparachichi ili kutengeneza mafuta na bidhaa nyingi… Read More
Na Dinna Maningo, MwanzaCHUO kinachotoa mafunzo ya kuchakata ngozi (Leather Processing) na kutengeneza bidhaa za ngozi (Leather Products Technology) ambacho kipo chini ya Taasisi ya Teknoloj… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Ukipita katika maeneo mbalimbali ya Kata ya Kipunguni hivi sasa si rahisi kuona takataka zikiwa zimezagaa kama ilivyokuwa hapo awali.
Kikundi cha Sauti ya J… Read More
Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa akizungumza na wadau wa Filamu nchini na kufafanua mafanikio ya Serikali kwenye tasnia hiyo.Mkutano huo umefanyika katika Ukumbi… Read More
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea na jitihada za kushughulikia hali ya upatikanaji wa mbolea nchini ili kukabiliana na uhaba uliojitokeza ambao umesababisha kuongezeka… Read More
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Ndugu Jerry Muro amezindua kiwanda kidogo cha kutengeneza Barakoa (mask) ikiwa ni sehemu ya jitihada za wilaya katika kupambana ma ugonjwa unaosababishwa na virusi… Read More