Rostam Aziz akisalimiana na Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema al Maarufu kwa jina la HH na kufikia makubaliano ya kuwekeza katika kuzalisha Umeme wa kutumia gesi nchini Zambia.
Rostam ali… Read More
Matukio mbalimbali katika picha baada ya washiriki wa Kongamano la Kimataifa la Gesi 2023 kutembelea Kampuni ya Oryx Gas iliyoko Kigamboni jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuona shughuli zi… Read More
Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent Bashungwa amefanya ziara ya kikazi ya siku moja Halmashauri ya Mji Kibaha na kutembelea kiwanda cha kuunganisha mabasi cha BM Motors kinach… Read More
Na Mwamvua Mwinyi,PwaniJESHI la polisi mkoani Pwani ,linamshikilia mtuhumiwa Shaban Athuman 61 mkazi wa Kwamakocho kata ya Mandela Chalinze Pwani ,kwa kosa la kumiliki kiwanda cha kutengenez… Read More
Mkurugenzi wa Kampuni ya Kiluwa Group, Mohammed Kiluwa akitiliana saini na Rais wa kampuni ya Kiisu Minyuan International Trading Ltd, Yu Liang kuhusu mkataba wa makubaliano ya uwekezaji wa… Read More
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewatoa hofu wawekezaji wanaozalisha bidhaa mbalimbali nchini baada ya kuwaeleza kuwa Serikali itahakikisha inawalinda na kulinda bidhaa zao ili waweze kupata ma… Read More
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Prof.Kitila Mkumbo,akizungumza bungeni leo Mei 22,2021 wakati akiwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa Mwaka 2021/2022.Na.A… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho Dkt. Maduhu KaziNa Dickson Billikwija Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) kimesema katika kipindi cha mwezi Januari hadi Machi mwaka 2021 kimefanik… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtwara.Katika kuhakikisha azma ya Serikali ya kuendeleza na kukuza uchumi wa Viwanda, Kituo cha Uwekezaji Tanzania-TIC kimesema ipo haja kwa Wawekezaji kukitumia kituo hic… Read More
Na Issa Mtuwa – DodomaUpungufu wa madini ya Chumvi kwenye viwanda vya chumvi hapa nchini unamsikitisha waziri wa madini Doto Biteko kutokana na uwepo wa mahitaji (soko) makubwa ya wanu… Read More
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema wiki ya maonesho ya nne ya viwanda ya nchi za SADC ni fursa pekee ya kutangaza bidhaa zinazozalishwa hapa nchini.Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumanne, Ag… Read More
Cheta: Mkombozi wa Nyati Cement Industry ni barabara ya Vikindu getini kupitia Kazole, Cheta, Magodani, Mwasonga hadi Kimbiji.Kimbiji kuna muwekezaji wa kiwanda cha Nyati cement ambapo katik… Read More