Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na Vyombo Vingine vya Ulinzi na Usalama wakiwemo JKT Ruvu imefanya operesheni ya siku nane (8) mfu… Read More
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Innocent Bashungwa (Mb) amewasili mjini Istanbul, Uturuki na ujumbe wake kwa ziara ya kikazi, kufuatia mwaliko wa Waziri wa Ulinzi wa Uturu… Read More
Dar es Salaam- 06 Machi, 2023Kamishna wa Utawala na Fedha wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mbaraka Semwanza akimwakilisha Kamishna Jenerali wa Jeshi hilo, leo tarehe 6 Machi, 2023 ameungana n… Read More
Aprili ya Kishua unaambiwaje jisajili Meridianbet upate mizunguko 50 ya bure kucheza sloti ya kasino ya mtandaoni. Kujisajili bonyeza hapa: https://a.meridianbet.co.tz/c/GLd6… Read More
*********************👉 AONGOZA VIKAO VYA MABORESHO NA TAASISI ZAKE KWA ZAIDI YA MASAA 10Na John MapepeleWaziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mohamed Mchengerwa leo Machi 5, 2023 ameon… Read More
Malkia Elizabeth II.MWILI wa Malkia Elizabeth II utasafirishwa kutoka Kasri la Buckingham kwa msafara utakaokuwa ukiendeshwa polepole wakiambatana na gwaride la kijeshi la familia ya Kifalme… Read More
*************************Iwapo tutalitambua suala la kuasisi serikali ya Kiislamu nchini Iran kuwa lilipewa kipaumbele cha kwanza katika fikra za kisiasa za Imam Ruhullah Khomeini, basi hapa… Read More
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Dkt. Stergomena Tax akiwa kwenye kikao na Waandishi wa habari katika ofisi za Wizara Mtumba Jijini Dodoma ambapo ameeleza mafanikio ya Mwaka… Read More
Maafisa na askari 14 wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), wamevishwa vyeo vipya baada ya kupandishwa na wengine kubadilishiwa madaraja ya utumishi. Katika hafla hiyo… Read More
UONGOZI wa Serikali mpya ya kijeshi ya Guinea umeingia nyumbani kwa waziri wa viwanda wa zamani wa nchi hiyo, Tibou Kamara, na kisha kumshikilia kwa mahojiano, kabla ya kumwachia saa chach… Read More
Na Clara Matimo, Mwanza
SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania(TASAC), limesema udhibiti makini wa sekta ya usafirishaji majini, mazingira baharini na nyaraka zinazoleta mizigo na kupelek… Read More
Bamako, Mali
Nchi ya Mali imeondolewa kwa muda uanachama wa Muungano wa Afrika kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya wiki iliyopita, yakiwa ya awamu ya pili katika kipindi cha miezi tisa.
Mapind… Read More
Marekani inadhamiria kuliondoa kundi la waasi wa Kihouthi nchini Yemen kutoka kwenye orodha ya makundi ya kigaidi. Afisa mmoja wa Ikulu ya White House amesema kuwa hatua hiyo itas… Read More