Na Mwandishi wetu
Wapiga kura 11,936 wanatarajiwa kupiga kura kesho tarehe 09 Juni, 2024 kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kwahani lililopo Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi, Zan… Read More
Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Dkt.Zakia Mohamed Abubakar leo tarehe 05 Juni, 2024 wakati akifungua mafunzo kwa Wasimamizi wa vituo na Wasimamizi wasaidizi wa vituo yanayofanyika… Read More
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro amezindua hotel iliyopo kata ya Tinde wilayani Shinyanga ijulikanayo kama AZAT HOTEL.
Hafla hiyo ya uzinduzi imefanyika leo Juni 1, 2024… Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama akitoa Taarifa ya Hali ya Dawa za Kulevya Nchini kwa mwaka 2023 kwa waandishi wa Habari katika Ukumbi wa H… Read More
Na Oscar Assenga,KOROGWE.
KAMPENI ya Usalama barabara inayotolewa na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana an Shirika la Amend Tanzania kupitia Ubalozi wa Uswis nchini umewafikia waendesha pikip… Read More
Na Kadama Malunde & Marco Maduhu - Shinyanga
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi ambaye ni Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemav… Read More
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
WADAU mbalimbali wa masuala ya Jinsia na Maendeleo wamekutana katika Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) na kuichambua bajeti ya Ofisi ya Rais (Mipan… Read More
Wananchi,watumishi na viongozi wa dini wakiwa kwenye ibada maalum ya kuliombea Taifa,Viongozi wa Kitaifa ikiwa ni maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano
Mwinjilisti wa kanisa la Kiinj… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Benki ya NMB imezindua kampeni ya Umebima Wilaya ya Kahama Mkoa wa Shinyanga - Kanda ya Magharibi kwa lengo la kuhamasisha Watanzania kukata Bima… Read More
Na Oscar Assenga,TANGA
WAZIRI wa Ardhi,Nyumba na Mendeleo ya Makazi Jerry Silaa anatarajiwa kuongoza Kliniki ya Ardhi kwa mkoa wa Tanga itakayofanyika kuanzia Aprili 22 mpaka 28 mwaka… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wageni mbalimbali pamoja na Waumini wa Dini ya Kiislamu kwenye Baraza la Eid El Fitr ambalo Kitaifa limefany… Read More
*Ni kufuatia hitilafu ya umeme kwenye mfumo wa Gridi
*Aigaza TANESCO kutafuta mwarobaini wa tatizo la kufeli kwa Gridi mara kwa mara
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Naibu Waziri Mkuu na… Read More
-Dkt. Kijaji: Watanzania tumieni fursa kupeleka bidhaa Uingereza.
Serikali imewashauri watanzania kutumia fursa ya mpango wa biashara wa Nchi zinazoendelea kwa kuhakikisha wanapeleka bidh… Read More
Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi Kitengo cha Dawati la Jinsia na Watoto wilaya ya Kawe A/NSP Frank Mnojela akitoa elimu ya kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa Wanafunzi… Read More
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Kada ya Uuguzi na Ukunga nchini imeiomba Serikali kupitia Wizara ya Afya kuharakisha mapitio ya mapendekezo yake juu ya maboresho pendekezwa ya mgawanyo wa madarak… Read More
*Watu zaidi ya 30,000 wahudhuria
Na Mwandfishi Wetu, Mtanzania Digital
Zaidi ya watu 30,000 kutoka ndani na nje ya Korea Kusini wameshiriki katika maadhimisho ya sherehe za kuadhimisha kumbu… Read More
Kamati ya kudumu ya bunge ya miundombinu imetembelea ujenzi wa mkongo wa taifa wa mawasiliano uliopo manispaa ya Shinyanga Mkoani Shinyanga.
Ziara hiyo ya ukaguzi imefanyika leo Machi… Read More
Kikundi cha Team February cha mkoani Shinyanga kimefanya matendo ya huruma kwa kutoa msaada katika kituo cha malezi ya watoto Saint John Bingen Home of Children ilichopo wilayani Kishapu mk… Read More
Na Mwandishi Wetu,Tanga
UBALOZI wa Uswisi kupitia ufadhili walioufanya kwa taasisi isiyo ya kierikali ya AMEND kwa ajili ya kutoa elimu ya usalama barabarani ikiwemo elimu ya huduma ya… Read More
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe amefanya ziara mkoani Shinyanga ambapo ametembelea Kituo cha Afya Kambarage kujionea namna huduma za afya zinavyotolewa, pia amekagua hud… Read More
*Aipongeza REA kusambaza umeme vijijini kwa ufanisi
*DG REA aeleza Shilingi Bilioni 73.9 zimewekezwa kutekeleza Miradi mitano ya umeme vijijini mkoani Arusha
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Dig… Read More
NA MWANDISHI WETU, DODOMA
SHIRIKA la AMEND Tanzania ambalo linajihusisha na utoaji wa elimu ya usalama barabarani limepongezwa na maofisa usarishaji maarufu bodaboda katika Jiji la Dodoma… Read More
MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) wanaendesha mafunzo ya masuala ya uongozi wa kijinsia ili wanajamii waweza kuenzi nguvu za pamoja, na kuhusisha wanawake katika ngazi za maamuzi ikiwa ni… Read More
*Ataka Viongozi Serikalini kutatua kero za wananchi na si kusikiliza tu
*Aagiza viongozi kuhakikisha wanafunzi wote wanaripoti mashuleni kabla ya Machi
*Awasha umeme Kijiji cha Magodi na Kig… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Madaktari bingwa wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke wanatarajiwa kuweka kambi ya siku tano katika Kituo cha Afya Buza ili kutoa huduma za uchunguzi wa… Read More
Taasisi za Wakala wa vipimo za Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania (WMA) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (ZAWEMA) zimetiliana saini hati ya makubaliano ya ushirikiano (MoU) i… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Bandari ya Dar es Salaam imesema ipo kwenye hatua nzuri ya utekelezaji ujenzi wa kituo kipya cha majumuisho cha meli kubwa za mafuta kitakachoondoa changa… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amesimamisha matumizi ya Kituo cha Mafuta cha Barrel Petrol Energy cha Mikocheni jijini Dar e… Read More
Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Joseph Modest Mkude akizungumza wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Nusu Mwaka wa wadau wa maji Wilaya ya Kishapu ulioandaliwa na RUWASA Kisha… Read More
......................
Na Mwandishi Wetu
Wakazi wa mtaa wa Kawe Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam, wameliomba Jeshi la Polisi nchini kuongeza ulinzi hasa nyakati za jioni ene… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kampuni ya Uuzaji na Usambazaji wa Matofali na vifaa vya ujenzi maarufu Jenga na Mimi Investment imetoa zawadi ya mahitaji ya Sikukuu ya Krismasi na Mw… Read More
Naibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya amesema hadi sasa urejeshaji wa miundombinu ya barabara na makalvati iliyokuwa imeharibiwa na maporomoko ya matope na mawe yaliyotokea Disemb… Read More
Na Clara Matimo, Mwanza
Zaidi ya wananchi 25,000 wa Kata ya Buzilasoga wilayani Sengerema mkoani Mwanza wanatarajia kunufaika na huduma za afya baada ya zahanata hiyo iliyopo Kijiji cha Kany… Read More
Na Renatha Kipaka, Kagera
Jeshi la polisi mkoani Kagera kwa kushirikiana na jeshi la ulinzi nchini Burundi wamekamata pikipiki 157 zilizokuwa zimeibwa na bunduki 11 zilizokuwa zikitumika kwe… Read More
WAZIRI wa Kilimo Hussein Bashe kulia akimgaia mche wa Mbegu ya Mchikichi zinazozalishwa na Shamba la Wakala wa Mbegu Asa Mkinga Mkulima wakati wa halfa ya ugawaji miche hiyo shamba la Mwele… Read More
Na Dotto Kwilasa,Dodoma
Ikiwa ni Siku ya kilele cha Wiki ya mlipa Kodi,Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)Mkoa wa Dodoma imeadhimisha siku hiyo kwa kurudisha shukrani kwa jamii ambapo i… Read More
Na Mwandishi Wetu, Ifakara-Morogoro
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya (EU) imewasha Kituo cha Kupoza na… Read More
Hapa duniani kuna njia nyingi za kuweza kufanikiwa kimaisha, changamoto inakuwa jinsi gani utaweza kupata hizo njia na kuzitumia hadi kuweza kufanikiwa.
Kibaya zaidi ni kwamba ni watu wach… Read More
Makatibu Wakuu wakikagua maendeleo ya ujenzi nyumba na miundo mbinu ya kuhamisha wananchi wanaotoka eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kwenda Kijiji cha Msomera Wilaya ya Handeni wakati w… Read More
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora, George Simbachawene.
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Salum Rashid Hamduni.
Na Dotto Kwilasa,Dodoma
WAZIRI wa… Read More
Na Mwandishi wetu,Pwani.
*Asisitiza Watanzania wanataka umeme*
*Atoa Pongezi kwa wafanyakazi kwenye mradi huo
*TANESCO wapongezwa kwa hatua ya ujenzi*
Mradi wa ujenzi wa Kituo cha Kupoza U… Read More
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Ramadhani Kailima akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uboreshaji wa majaribio wa Daftari La Kudumu la Wapiga Kura.
Mkurugenz… Read More
Rais wa Chama cha walimu Tanzania (CWT)Leah Ulaya
Na Dotto Kwilasa,Dodoma
Wakati Uongozi wa Chama cha walimu Tanzania (CWT)ukiwa kwenye maandalizi ya Sherehe ya Siku ya Mwalimu inayotar… Read More