Msimamizi wa kituo cha Afya cha Bikra Maria Mama wa Tumaini (BMMT) na Mkurugenzi Mtendaji wa asasi ya ATFGM, Sister Jacqueline Gbanga akielezea namna wanavyoshirikiana na PEPFAR kuk… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula (wa tatu kushoto) akifuatilia maelezo ya Mkuu wa wilaya ya Biharamulo Advera Bulimba wakati alipokwenda kutatua mgogoro wa… Read More
Sehemu ya uharibifu uliofanywaNA ROSE MWEKO, GEITAMTU asiyefahamika amevamia na kuingia ndani ya kanisa Katoliki jimbo la Geita na kufanya uharibifu katika altare na sakrestia na kuvunja tab… Read More
Meneja Mkuu wa Mgodi wa Barrick North Mara,Apolinary Lyambiko (kushoto) akimkabidhi msaada wa hundi ya dola 10,000 Msimamizi wa Kituo kituo cha Kulea Watoto wenye Ulemavu cha St.Justin kili… Read More
MASHEMASI Watano ambao wanatarajiwa kupewa daraja la Upadre hapo kesho, na askofu wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu, leo wamekiri imani Katoliki mbele ya askofu na Kanisa… Read More
Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Jane Goodall Tanzania Bw. James Lembeli ambaye pia ni Mjumbe wa Bodi ya Taasisi hiyo nchini Marekani na Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kahama akiwa katika&n… Read More
ASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu akiongoza Ibada kwenye mkesha wa Sikukuu ya Christmas.Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga Janeth Magomi, akiwa k… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe Dkt Angeline Mabula akizungumza katika Jubilee ya miaka 25 ya Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni Kibiti na sherehe za… Read More
Mwili wa padre wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mbeya wa Shiriki wa Wamisionari wa Afrika (White Father), Michael Samson umeokotwa jijini Mbeya.Mwili huo umeokota katika mto Meta maeneo ya Sa… Read More
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Hamis Issah**Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Hamis Issah amethibitisha kutokea kwa vifo vya watu 8 na 19 kujeruhiwa katika ajali ya gari aina ya Coaster T 2… Read More
Padri aliyetekwa asadikika kuuawaPADRI mmoja wa Kanisa la Katoliki anayefahamika kwa jina la John Mark Cheitnum ambaye alitekwa nyara akiwa na wenzake wawili, ameuawa kwa kupigwa risasi kati… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.Dkt Angeline Mabula (wa pili kushoto) akiwa ameshika bilauri ya Mvinyo wakati wa kuadhimisha miaka sitini na kuzaliwa kwake jijini Dodoma ta… Read More
Askofu wa Jimbo Katoliki la Geita Mhasham Flavian Kassala akikata utepe wa ufunguzi wa Kanisa jipya la Bikira Maria wa Fatima. Wa pili kulia ni Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi… Read More
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Mwanahabari Doris Ntaliaga wakati wakitoka katika Misa Takatifu ya kumuaga iliyofanyika Kanisa Katoliki Jimbo la Singida jana.Marehemu Dori… Read More
Na Upendo Mosha,Moshi
WADAU wa Elimu, ikiwemo Taasisi za dini katika Mkoa wa Kilimanjaro, wameiomba serikali kuondoa baadhi ya tozo na kodi ambazo zimekuwa changamoto katika shule hizo, hat… Read More
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padre Raymond Saba amefariki duniani Agosti 3, 2021 majira ya saa 1 jioni katika hospitali ya Rabinitsia iliyopo jij… Read More
Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Sheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Baraka Leonard akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa uchaguzi mkoa wa ShinyangaNa Kadama Malunde- Malunde 1 blogTume ya… Read More
Joe Biden amekula kiapo na kuwa rais wa 46 wa taifa la Marekani. Biden amekula kiapo mbele ya jaji wa Mahakama Kuu John Roberts.Baada ya kula kiapo Biden amelihutubia taifa kwa mara ya kwanz… Read More
Mwenyekiti wa Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini na Madhehebu mbalimbali Mkoa wa Singida,(aliyesimama)Hamis Muhamed Kisuke akiongoza kikao ambapo walizungumzia … Read More
Na Anitha Jonas – WHUSM,ShiratiWatanzania tuendelea kumwombea Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli ili aendelee kukua na kuongezeka imani na busara.Askof… Read More