Swali: Njia ya msalaba ni nini na Ipi historia ya njia ya msalaba?. Njia ya Msalaba ni Desturi iliyoanzishwa na kanisa Katoliki ambapo waumini wanapita kat
The post Njia ya Msalaba ni nini… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francis amemwalika Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, Vatican Feb… Read More
SKOFU SANGU FarajaFM December 25, 2023 0
Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu, amesema Kanisa halijawahi kufundisha au kuhalalisha muungano wa kindoa… Read More
Na. Shinyanga RS.
MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina S. Mndeme amesema kuwa serikali itaendelea kutambua, kuheshimu na kuthamini mchango wa Kanisa Katoliki.
Hayo yamesemwa leo ta… Read More
Mtakatifu Rita, ambaye kwa kanisa katoliki anajulikana pia kama ‘mwombezi wa mambo yasiyowezekana’, na ‘mfanya miujiza’. Ni mama aliyezaliwa mwaka 1381, katika mji un… Read More
Mkuu wa Wilaya ya Ngara Kanali Mathias Kahabi akifungua mafunzo ya maadili kwa viongozi wa halmashauri ya wilaya ya Ngara. Mafunzo hayo yalifanyika katika ukumbi wa Kanisa Katoliki Ruleje… Read More
MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amechangia Sh Milioni tatu katika harambee ya ujenzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Ikungi huku akilipongeza Kanisa kwa kuendelea kuiombea aman… Read More
Na Shemasi George Rugambwa- Seminari ya Ntungamo, Bukoba
Leo TEC imetoa tamko lake kuhusu mkataba wa kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam kati ya Tanzania na Dubai. Tamko lake limeelezewa kwa… Read More
Msimamizi wa kituo cha Afya cha Bikra Maria Mama wa Tumaini (BMMT) na Mkurugenzi Mtendaji wa asasi ya ATFGM, Sister Jacqueline Gbanga akielezea namna wanavyoshirikiana na PEPFAR kuk… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula (wa tatu kushoto) akifuatilia maelezo ya Mkuu wa wilaya ya Biharamulo Advera Bulimba wakati alipokwenda kutatua mgogoro wa… Read More
Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB), imetoa elimu ya kilimo cha zao la Mkonge, masoko na fursa zitokanazo na zao hilo kwa Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA), katika Semina ya kuhitim… Read More
Sehemu ya uharibifu uliofanywaNA ROSE MWEKO, GEITAMTU asiyefahamika amevamia na kuingia ndani ya kanisa Katoliki jimbo la Geita na kufanya uharibifu katika altare na sakrestia na kuvunja tab… Read More
Meneja Mkuu wa Mgodi wa Barrick North Mara,Apolinary Lyambiko (kushoto) akimkabidhi msaada wa hundi ya dola 10,000 Msimamizi wa Kituo kituo cha Kulea Watoto wenye Ulemavu cha St.Justin kili… Read More
Mashua ya matibabu inayotoa huduma Ziwa Victoria
Na Mwandishi wetu
TANGU Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), ambayo ni kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti ilipoanzishwa mwaka 20… Read More
Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Jane Goodall Tanzania Bw. James Lembeli ambaye pia ni Mjumbe wa Bodi ya Taasisi hiyo nchini Marekani na Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kahama akiwa katika&n… Read More
MASHEMASI Watano ambao wanatarajiwa kupewa daraja la Upadre hapo kesho, na askofu wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu, leo wamekiri imani Katoliki mbele ya askofu na Kanisa… Read More
Jeneza la mfalme wa soka duniani hayati Pele.Rais wa Brazil Luiz Inacio Lula da Silva Jumanne anaongoza mazishi ya bingwa wa kandanda Pele ambaye atakumbukwa kama mchezaji bora zaidi katika… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe Dkt Angeline Mabula akizungumza katika Jubilee ya miaka 25 ya Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni Kibiti na sherehe za… Read More
Papa Francis akiwatawaza Maaskofu kuwa MakardinaliPapa Francis akiwa katika kanisa la St.Peter’sBABA Mtakatifu na mkuu wa kanisa katoliki duniani Papa Francis (85) amewateua maaskofu 2… Read More
Karibu katika duka la NNIENET Under Wear !Tunauza nguo za ndani kutoka Uturuki; rika zote wanaume, wanawake na watotoTunazo Chupi, Boxer, Vest, Night dress, Brazia, Mikoba, perfume aina zote… Read More
Padri aliyetekwa asadikika kuuawaPADRI mmoja wa Kanisa la Katoliki anayefahamika kwa jina la John Mark Cheitnum ambaye alitekwa nyara akiwa na wenzake wawili, ameuawa kwa kupigwa risasi kati… Read More
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Hamis Issah**Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Hamis Issah amethibitisha kutokea kwa vifo vya watu 8 na 19 kujeruhiwa katika ajali ya gari aina ya Coaster T 2… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.Dkt Angeline Mabula (wa pili kushoto) akiwa ameshika bilauri ya Mvinyo wakati wa kuadhimisha miaka sitini na kuzaliwa kwake jijini Dodoma ta… Read More
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akiwa na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango leo tarehe 25 desemba 2021 wameungana na waumini wa kanisa katoliki la mtakatifu Pa… Read More
Na Derick Milton, Simiyu.
WAGANGA wa jadi katika kijiji cha Gambosi,wilayani Bariadi mkoani Simiyu, wamemuomba Askofu Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga, Mhashamu Liberatus Sangu awaombee il… Read More