Kamishna wa Tume ya haki za binadamu na utawala bora Nyanda Shuli akizungumza
Diwani wa Kata ya Bilele Mh Sharif Salum Taufiq akizungumza
Na Mbuke Shilagi Kagera… Read More
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga akimueleza jambo Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii Mhe, Timotheo Mzava w… Read More
Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Joseph Modest Mkude akizungumza wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Nusu Mwaka wa wadau wa maji Wilaya ya Kishapu ulioandaliwa na RUWASA Kisha… Read More
Na Imani Nathaniel, Mtanzania Digital
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Halotel pamoja na wafanyakazi wake wemeshiriki katika zoezi la usafi soko la Makumbusho jijiji Dar es Salaam katika kusher… Read More
KAIMU Mkuu wa Idara ya Ardhi, Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze, Bw.Deo Damian Msilu,akizungumza na waandishi wa habari mara baada kukagua maeno yaliyopitiwa na Mradi wa Uboreshaji wa Usal… Read More
Na Dotto Kwilasa,Dodoma
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)kimezindua Harambee ya kuwachangia wanafunzi wenye mahitaji maalum wanaosoma chuoni hapo ili kuchochea ari ya mafanikio yao ikiwa ni… Read More
Makatibu Wakuu wakikagua maendeleo ya ujenzi nyumba na miundo mbinu ya kuhamisha wananchi wanaotoka eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kwenda Kijiji cha Msomera Wilaya ya Handeni wakati w… Read More
Na, Deborah Munisi
"Kama yupo mtu anayeipinga CCM ni wivu wake binafsi kwasababu katika sekta ya maendeleo inatekeleza kwa kasi, msiyumbishwe na kelele za wapinzani, kufuatia maendeleo ha… Read More
Na John Mapepele
Wakaazi wa Hifadhi ya Ngorongoro ambao ni kaya 11 na wananchi 43 pamoja na mifugo 36 walioamua kuhama kwa hiari kupisha uhifadhi leo tarehe 19 Oktoba, 2023 wamempongeza n… Read More
MRATIBU wa Tiba Utalii Dkt.Asha Mahita amesema kuwa kuna umuhimu Tanzania tukajiandaa kwa tiba Utalii na ili iweze kufanikiwa tunahitaji ubora wa huduma kwenye maeneo mbalimbali husika kwa… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa akizungumza na wananchi wa eneo la Pombe Shop Chamwino Morogoro usiku alipokwenda kutatua mgogoro wa ardhi tarehe 22 Sept 2023… Read More
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoani Tanga (RTO) Wiliam Mwamasika akizungumza wakati kuelezea mpango kazi wa Usalama barabara kwa Jiji la Tanga unaendeshwa na Shirika la Amend… Read More
Na John Mapepele.
Serikali imesema hakuna mwananchi aliyenyanyaswa kijinsia, wala mifugo ya mwananchi yeyote (Ng’ombe 250) kuporwa au taarifa ya mtu yeyote kutaka kujinyonga pia haku… Read More
Mkurugenzi Mwanzilishi wa Makampuni ya Vanilla International Limited, Simon Mnkondya akionesha zao la Vanilla katika Shamba kubwa la Kilimo cha Vanilla kwa njia za kisasa katika Kijiji… Read More
Kama ulidhani kutokukamilika kwa mradi wa mwendokasi awamu ya pili kutoka Gerezani hadi Mbagala Rangi Tatu kunawakera wakazi wanaohangaika na usafiri kila linapokucha au kukuchwa unajidang… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa FCS, Bw. Francis Kiwanga (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari katika hafla ya uzinduzi wa mradi wa “Uraia Wetu” kwaajili ya kukuza uwezo wa AZAKi… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Shinyanga imefanya ukaguzi kwa wafanyabiashara na wanunuzi wa bidhaa mbalimbali ikiwa ni sehemu ya utekelezaji w… Read More
Na Mwandishi wetu, Mtwara
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Wenye Ulemavu)Joyce Ndalichako ametoa rai kwa wananchi wa Mtwara kuzichangamkia fursa za kibiashara zi… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula akiwasilisha Makadirio ya Matumizi na Mapato ya Wizara yake kwa mwaka wa fedha 2023/24 kwa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ard… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza katika kikao kazi cha kujadili na kuweka mikakati ya kukwamua changamoto za sekta ya ardhi katika mkoa wa Morogo… Read More
Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Antony Mavunde akitoa maelekezo Kwa Mkurugenzi Mkuu wa TEMDO muhandisi Prof. Frederick Kahimba alipo tembelea Shirika la Uhandisi na Usanifu Mitambo Ta… Read More
Na Mathias Canal, WEST-KilimanjaroNaibu Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Pauline Gekul amewataka wakazi wa jimbo la Rombo mkoani Kilimanjaro na watanzania wote nchini kushiriki kika… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Sophia Mjema akikabidhi funguo kwa mwendesha bodaboda. Kulia ni Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akifuatiwa na Meya wa Manispaa ya Shinyanga Mh… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza wakati wa kufunga Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyan… Read More
Mtaalamu wa maji kutoka Benki ya Dunia Rwegoshora Makaka akizungumzaNa Suzy Luhende, ShinyangaWananchi wa kata ya Ukenyenge wilayani Kishapu wameishukuru Benki ya Dunia kwa kushirikiana na W… Read More
Na COSTANTINE MATHIAS, Bariadi.MADIWANI wa Halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu wamesikitishwa na uhaba wa mashine za kukusanyia mapato za kielektroniki (EFD-Machine) ambazo zimesa… Read More
Avitus Benedicto Kyaruzi,KageraWadau mbalimbali mkoani Kagera kwa kushirikiana na serikali pamoja na wananchi wametakiwa kulipa kipaumbeli swala la lishe bora mkoani hapa hili kupunguza na h… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF) , Dkt. Tausi Kida akizungumza wakati wa ufunguzi wa mjadala wa kisera katika kuadhimisha mwaka mmoja wa Rais Samia uli… Read More
Na Prisca Ulomi, WHMTH, ZanzibarSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa pamoja zinashirikiana kutekeleza mfumo wa anwani za makazi nchini kwenye… Read More
Na Beatrice Lyimo-MAELEZO
Msajili Mkuu Mahakama ya Tanzania, Wilbert Martin Chuma, ametoa rai kwa wadau wote wa Haki pamoja na wananchi kushiriki ipasavyo katika mnyororo wa utoaji haki ili… Read More
Wakati Wakristo duniani wakitarajia kusherehekea sikukuu ya Pasaka siku ya Jumapili Aprili 4, 2021, Jeshi la Polisi Tanzania limesema halitarajii kuona shamrashamra zozote.Hali hiyo inatokan… Read More