KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komredi Daniel Godfrey Chongolo ameeleza hatua mbalimbali zinazochukuliwa na Serikali, kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020 – 2025, kw… Read More
Kampuni ya Vanilla International Limited imeanzisha mradi wa VANILLA VILLAGE KENYA ,Mombasa nchini Kenya katika mji mdogo wa Mariakani.
Mkurugenzi wa Vanilla International Limited Dunian… Read More
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kilosa, Kisena Magena Mabuba (kushoto) akimsaidia Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata ya Magubike, Juma Hamis Ngwele kubadika fomu za uteuzi za w… Read More
Mkurugugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Ramadhan Kailima, akizungumza jijini Dodoma leo Juni 14,2023 wakati akitangaza taarifa ya uchaguzi mdogo wa Udiwani katika Kata 14 za… Read More
Na Mwandishi wetu ,MWANZA.
BODI ya Wakurugenzi k Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko (CPB) imesema inaenda kufanya mapinduzi makubwa katika sekta ya Mazao na Nafaka kwa ujumla kwa… Read More
Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA), Khadija Said (watatu kushoto) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kampeni ya “10 na Kitu” ya Benki ya CRDB inayolenga kati… Read More
Serikali imetangaza mpaka sasa ugonjwa ulioripotiwa Machi 16, 2023 kutoka Wilayani Bukoba mkoani Kagera umejulikana kuwa ni virusi vya 'Marburg'' na hadi wakati huu tayari umekwishaua watu w… Read More
Na Derick Milton, Nyakabindi
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk. Yahya Nawanda amewataka wakulima mkoani humo, kuhakikisha wanatunza chakula katika kipindi hiki kwani uzalishaji utakuwa mdogo kutoka… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeeleza hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini inayoendelea nchi nzima.
Taarifa ya utekelezaj… Read More
*************************Kuwa wazi kwa siku saba (07) hadi Novemba 20*Wanafunzi 68,422 wa mwaka wa kwanza wapangiwa mikopo hadi sasaJumapili, Novemba 13, 2022Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa E… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda..Baadhi ya wadau wa Elimu waliohudhuria kwenye kikao maalum cha Menejimenti ya Wizara ya elimu nchini Jijini Dodoma .Na D… Read More
Waziri wa elimu,Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda.Na Mathias Canal, KILIMANJARO WAKATI dirisha la maombi ya mikopo kwa mwaka wa masomo 2022/2023 likiwa wazi kwa muda wa siku 70 ku… Read More
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Benki ya NBC, Godwin Semunyu(wa kwanza kushoto) na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa NBC, David Raymond wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa uzinduzi wa… Read More
Dar Es Salaam, , Kampuni mashuhuri kwa uuzaji wa bidhaa zinazotumia umeme ya LG Electronics East Africa imetangaza kuzindua Kampeni ya " LGs Something Better " kote nchini inayolenga kubores… Read More
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na EWURA, bei hizi zitaanza… Read More
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) limepiga kura kwa wingi ya kuunga mkono azimio la kuitaka Urusi kusimamisha mara moja mashambulizi nchini Ukraine na kuyaondoa majeshi yake yote nchini… Read More
Klabu ya Namungo imetangaza benchi jipya la ufundi la klabu hiyo. Imemtambulisha Hanour Janza ambaye ni raia wa Zambia kuwa Kocha Mkuu wa klabu hiyo akisaidiwa na Jamhuri Kihwelo ‘Juli… Read More
Picha ya Orbital ReefBilionea Jeff Bezos na mmiliki wa kampuni ya Blue Origin inayosimamia utalii wa angani ikishirikiana na kituo cha angani cha Sierra na Boeing imetangaza mpango wa kuzind… Read More
SAUDIA ARABIA itaanza kuwapokea wageni waliopata chanjo ya Covid-19 katika mji mtukufu wa Kiislamu wa Makka ikiwa kama sehemu ya ibada ya umrah, ni takriban miezi 18 tangu kuifunga mipaka ya… Read More
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza kuwa dirisha la maombi ya mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya juu kwa mwaka 2021/2022 linatarajia kufunguliwa Julai Mosi mwaka huu… Read More
Makachero kutoka Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) nchini Kenya wamemkamata mwanaume aitwaye John Christon Shipiti mwenye umri wa miaka 52 kwa madai ya kumuua mwanafunzi wa Darasa la 8 kwa k… Read More