Wanasema huwezi kuwa tajiri kwa kazi ya kuajiriwa kamwe, hiyo ni kutokana matajiri wote duniani ni wafanyabiashara na wajasiriamali wakubwa ambao wamekuwa wakiuza bidhaa na kutoa huduma.
J… Read More
Mtemi wa Jeshi la Jadi Sungusungu kijiji cha Lunguya, Julius Kahenyela Manyama Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) umeendesha Mkutano wa Tathmini y… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf MkendaNa Mathias Canal, KILIMANJAROKATIKA kuimarisha sekta ya Kilimo imeelezwa kuwa kuna umuhimu wa kutumia soko la kimat… Read More
Balozi wa zao la Pamba nchini Aggrey Mwanri akionesha jembe la palizi kwa ajili ya zao la pamba na mazao mengineBalozi wa zao la Pamba nchini Aggrey Mwanri akielezea kuhusu jembe la palizi k… Read More
Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Joseph Mafuru akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake leo Dodoma kuhusu msimamo wa kuwahamisha wafanyabiashara wa soko la Sabasaba kupisha ukarabati wenye… Read More
RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Ijumaa tarehe 31 Desemba 2021, ametoa hotuba ya kuufunga mwaka 2021 na kuukaribisha mwaka mpya 2022.Rais Samia amezungumzia changamoto zilizotokea… Read More
Mpenzi msomaji wa makala hii, napenda nikwambie kitu kwamba siku izi watu wengi wanapenda kuanzisha biashara zao binafsi uku lengo lao kuu nikuachana na kuajiliwa kisha wajiajiri wenyewe na… Read More
Janeth Mushi,Arusha
Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Kenani Kihongosi, amemwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Dk. John Pima kwa kushirikiana na uongozi wa soko hilo kutatua changa… Read More
Mgombea ubunge Jimbo la Tarime mjini kupitia chama cha Mapinduzi CCM Michael Kembaki akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa kampeni zake.**Na Dinna Maningo - TarimeMgombea Ubunge Jimb… Read More
Diwani wa kata ya Maganzo, Lwinzi Mbalu Kidiga ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madiwani wa kata zinazozunguka mgodi wa Mwadui akiwatangazia wananchi kuhusu taarifa za kuzuiwa kwa mkutano… Read More
Wadau wa mazao ya nafaka, wakimsikiliza Waziri wa Kilimo Mhe. Japhate Hasunga wakati akihutubia mkutano wa siku mbili wa Wafanyabiashara wa Nafaka Ndani na Nje ya Nchi kweny… Read More
LAGOS, Nigeria HABARI za kuvunjika kwa Kundi la P Square linaloundwa na mapacha Peter na Paul, si ngeni tena ingawa ziliwashangaza wadau wengi wa muziki barani Afrika.Kwa ubora wa tungo zake… Read More