Msajili wa Hazina Bw.Nehemiah Mchechu (Kulia) akipokea mfano wa hundi ya shilingi Bilioni 2.5 kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa TIPER Tanzania Bw.Mohamed Mohamed kama gawio kwa Serikali amb… Read More
***************
*Asema maono yake kwenye filamu ya Royol Tour utalii umejibu
*Asisitiza CCM haina muda wa kujibu lugha za matusi, wao wanaongoza nchi
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV &ndas… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa ATE - Bi. Suzanne Ndomba akizungumza wakati akizindua Awamu ya 9 ya Programu ya Mwanamke Kiongozi iliyofanyika leo Machi 23,2023 katika Hoteli ya Sea cliff Jijini Dar… Read More
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa tuzo kwa washindi wa Mafunzo ya Uanagenzi kwenye kundi la Makampuni makubwa kwa mwaka 2023. Makabidhiano hayo yalifanyika katika hafla kati ya Baraza la T… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Mhariri wa MTANZANIA DIGITAL, Faraja Masinde, ameibuka mshindi wa jumla wa tuzo za uandishi wa habari za watoto (TEFCRA) kwa mwaka 2022 zilizoandaliwa na… Read More
Mwezeshaji wa Mafunzo Deo Temba akiwasilisha mada kuhusu Uandaaji wa Bajeti kwa Mrengo wa Kijinsia kwa maafisa mipango na bajeti, maendeleo ya jamii na waratibu wa madawati ya jinsia kutoka… Read More
MATUNDA ya filamu ya The Royal Tour yanaendelea kushamiri baada ya Tanzania kuwa mwenyeji wa shindano la Dunia la utanashati, urembo na mitindo wanaume na wanawake kwa watu wenye changamoto… Read More
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akifungua warsha ya siku mbili ya wadau wa uhifadhi mfumo wa ikolojia wa hewa ya ukaa ya bluu na uendelezaji wa uchumi wa bluu Tan… Read More
***********************Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Leo Agosti 27,2022 kimekutana na Wafanyabiashara wa Marekani ambao ni jamii ya watu wa China kwenye kongamano kubwa la Kibiashara na… Read More
Taswira ya Kituo Kikuu cha Mabasi ya Mikoani na Nje ya nchi kilichopo Mbezi Luis Jijini Dar es Salaam ambacho leo tarehe 24 Februari 2021 kimefunguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanz… Read More
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akiangalia mandhari ya ndani ya sehemu mradi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wa Morocco Square alipofanya ziara ka… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Denge la Tanzania (ATCL), Mhandisi Ladislaus Matindi wakionyesha ishara ya uzinduzi wa… Read More
Mmiliki wa hoteli ya Peacock, Joseph Mfugale amefariki dunia leo Jumamosi Julai 31 asubuhi jijini Dar es Salaam kwa kile kilichoelezwa kuwa alikuwa ameugua muda mrefu.Mfugale ni miongoni mwa… Read More
Kamati ya kitaalamu iliyoundwa kufanya tathmini ya hali ya ugonjwa wa corona nchini, imetoa mapendekezo 19 ikiwamo matumizi huru ya chanjo ya ugonjwa huo, ili kutoa fursa ya kinga kwa makund… Read More
Polisi kutoka Athi River jimbo la Machakos nchini wanachunguza kisa ambapo mwanaume aitwaye Ernest Kamanda mwenye umri wa miaka 52 alizimia na kuaga dunia Jumatano, Februari 3,2021 usi… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Aboubakar Kunenge amesema ujenzi wa kituo kipya cha mabasi ya mikoani cha Mbezi Louis jijini Dar es Salaam umefikia asilimia 90 na kituo kitaanza majaribi… Read More
Uongozi wa Klabu ya Yanga wakishirikiana na wadhamini wao Kampuni ya GSM Mei 31 wameingia mkataba wa misimu minne wa makubaliano ya kimaendeleo ya timu hiyo na kampuni La Liga Makubalia… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amepiga marufuku msongamano wa abiria katika vyombo vya usafiri, maeneo ya ibada, benki na mengineyo jijini humo ili kujikinga na ugonjwa wa virus… Read More