Huenda Adha ya usafiri na usafirishaji bidhaa inayowakabili wananchi wanaotumia barabara ya Kiranjeranje kwenda Ruangwa ikafikia tamati baada ya Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) mkoa… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa Watanzania wote waliofikwa na athari ya mafuriko katika maeneo kadhaa ka… Read More
Mbunge wa jimbo la Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka inadaiwa amenusurika Kifo baada ya Gari lake kushambuliwa kwa Risasi na watu wasiojulikana.
Taarifa mbalimbali zilizos… Read More
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga akimueleza jambo Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii Mhe, Timotheo Mzava w… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Kampuni ya simu ya Halotel leo imetoa na kukabidhi zawadi kubwa ya gari aina ya Mazda CX5 kwa mshindi wa kampeni hii iliyokwenda kwa jina la “Kivum… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Mbunge wa Segerea, Bonnah Kamoli, ameiomba Serikali kumpelekea fedha mkandarasi ili aongeze kasi ya ujenzi katika Shule ya Sekondari Bonyokwa.
Bonnah ametoa… Read More
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Mikondo Miwili ya Uzalishaji Maji wa Kiwanda cha Suma JKT Bottling Jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Majeshi… Read More
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Komredi Daniel Godfrey Chongolo ameonekana kutoridhishwa na hatua ya Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya katika Halmashauri ya Sumbawanga Vijijini, ambap… Read More
Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow, akizungumza na waandishi wa habari katika Mgodi wa North Mara juzi kuhusu athari chanya za ubia wa kimageuzi katika uchimbaji madini… Read More
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mhe. Jabir Shekimweri,akizungumza wakati akifungua Mafunzo ya siku mbili ya kujenga uwezo kuhusu mfumo wa Anwani za Makazi kwa Maafisa Tarafa,Watendaji wa Ka… Read More
Mtu mmoja aliyekuwa akiendesha pikipiki amefariki dunia katika ajali kati ya pikipiki hiyo na Gari ya Mwendokasi baada ya kugonga basi hilo kwenye eneo la Lumumba, mataa ya Kituo c… Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi akiongoza Matembezi na mbio fupi za Uzazi Ni Maisha Wogging 2023 yalioanzia viwanja vya Butros Kiembe Samaki n… Read More
Mbunge wa Songea Mjini ambaye pia ni Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dk. Damas Ndumbaro amewataka wataalam wa Halmashauri ya Songea pamoja na mkandarasi anayejenga hospitali ya Wilaya ya S… Read More
Ukweli ni kwamba hakuna mwanaume yoyote ambaye anapenda sehemu ambayo anachovya pia mwanaume mwingine aje achovye tena kiurahisi tu.
Sisi wanaume siku zote ni walinzi pia walezi wa wake… Read More
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) limeanza na zoezi la kawaida la usajili wa watoa huduma binafsi na utoaji vibali vya uen… Read More
ZAIDI ya watu 260 wanaripotiwa kufariki dunia nchini India na wengine 900 wamejeruhiwa baada ya treni mbili za abiria na nyingine ya mizigo kugongana huko katika Jimbo la Odisha lililopo… Read More
Siku moja nilienda Nairobi kwa ajili ya kuchukua mkopo Benki ili niweze kuikuza biashara yangu ya kuuza nguo za kike, nilivalia gauni lenye mvuto sana, kila aliyekutana na mimi alisema kuwa… Read More
Afisa Mwandamizi wa Usalama na afya mahali pa kazi, Sospeter Mkombati akifafanua kuhusu chumba maalumu cha dharura wakati wa uokozi ndani ya mgodi (refugee chamber) ambacho kimebuniwa na k… Read More
Mwanamke mjamzito mwenye umri wa miaka 21, na mtoto wake aliyekuwa tumboni walifariki dunia wakati gari la wagonjwa lililokuwa likimkimbiza hospitalini kupoteza mwelekeo na kuanguka.Ripoti z… Read More
Mwili wa mtu mmoja ajulikanaye kwa jina la Muksini, ambaye ni mfanyabiashara wa bucha umekutwa kwenye gari yake katika eneo la Uwanja wa Fisi Maduka 9 jijini Mwanza, akiwa amefariki hu… Read More
Kuwa na makazi mazuri ni sehemu ya mambo matatu ya muhimu (basic needs) kwa binadamu yeyote ukiachilia mbali chakula na mavazi, hivyo katika kutafuta kwangu maisha, nilijitahidi sana niweze… Read More
Hakuna ubishi kuwa kila binadamu ana ndoto kubwa za kufanikiwa kimaisha, lakini ukweli ni kwamba sio kila mwenye ndoto inaweza kutimia na pengine inaweza kutimia ila kwa kuchelewa sana.Ndivy… Read More
Familia ya watu sita akiwemo baba, Khumbulani Togara, mama na watoto wao wanne, akiwemo kichanga, wamefariki dunia katika ajali ya kutisha iliyotokea siku ya Boxing Day, Desemba 26, 2022.Aja… Read More
*************************CHAMA Cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (TABOA) kimeunga mkono na kumpongeza Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson kwa hatua yake ya kuitaka Serikali kuangalia upya utarat… Read More
WIKI mbili zilizopita kulikuwa na habari za tanzia kuhusu mwanamke mmoja aliyefariki dunia katika ajali ya barabara alipokuwa akimkimbiza mumewe, Sonnie Bassey baada ya kumfumania na mwanamk… Read More
*************************WAFANYABIASHARA wanaokuja kufanya biashara pamoja na kuwekeza nchini, wametakiwa kuzingatia taratibu zilizowekwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) ili kuepuka vik… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu akisalimiana na wanachama wa Saccos ya Kizimkazi Mkunguni Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar wakiongozwa na Mwenyekiti wa Saccos hiyo Bw Sai… Read More
Mzee mmoja kutoka kaunti ya Busia nchini Kenya amewaacha wenyeji vinywa wazi baada ya kujinunulia jeneza la tatu.Alloise Otieng' Ominang'ombe mwenye umri wa miaka 87 amenunua jeneza jipya la… Read More
Gari la Matangazo la Kampuni ya Jambo Food Products likiwa kwenye kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma cha Butulwa -Old Shinyanga katika Tamasha la Kwanza la Utamaduni Mkoa wa Shinyang… Read More
Mwili wa mtu aliyedhaniwa kufariki na kupelekwa Mochwari ukirudishwa baada ya kugundulika kuwa yupo hai **RAIA mmoja katika Jiji la Shanghai nchini China amepelekwa mochwari kwa bahati… Read More