Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Dar es Salaam, Badru Idd (wa pili kulia), akimkabidhi Robert Masala kadi ya gari aina ya Toyota Crown baada ya kushinda katika kampeni ya Benki ni SimBankin… Read More
Viongozi wakipiga makofi wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria inayojulikana “Mama Samia Legal Aid Campaign”
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog… Read More
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Msemaji wà Serikali kwebye ukumbi wa habari Maelezo jijini Dodoma.
Msemaji wà Serikali Gerson Msigwa akizungumza na waandishi wa h… Read More
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi (Mb) akijibu swali Bungeni leo tarehe 16 Mei, 2023, jijini Dodoma.
Na Mwandishi Wetu, DOD… Read More
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi akijibu swali Bungeni leo Mei 12, 2023, jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri M… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza katika semina ya siku moja ya Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kuhusu Mradi wa… Read More
Na Dotto Kwilasa,Malunde 1Blog-DODOMA .RAIS wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasani anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi-Mei Mosi itakayofanyika… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mjumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe Mhe. Emmerson Mnangagwa, Balozi Simbarashe Mumbengengwi… Read More
Mbunge wa Viti Maalum Asasi za Kiraia na Mashirika yasio ya Kiserikali Mhe. Neema Lugangira (Kushoto) akimsikiliza Meneja wa Kituo cha Umahiri cha Utafiti wa Kilimo, Sayansi ya Chakula na Us… Read More
Wanafunzi wa Kitanzania wa TEHAMA kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Chuo Kikuu cha Dodoma waliibuka miongoni mwa wanafunzi bora zaidi katika shindano la TEHAMA Huawei 2021-2022 Kusini m… Read More
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Stergomena Tax ,akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo wakati Wizara ya Viwanda na Biashara ikitoa semina… Read More
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim MajaliwaNa Dotto Kwilasa,DodomaSERIKALI imesema,katika kipindi cha Mei 2021 hadi sasa imetumia jumla ya Sh. bilioni 172.614 kulipa… Read More
Waziri Mkuu, Mheshimwa Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi Mkaguzi Mkuu, Mkaguzi Msaidizi pamoja na baadhi ya watendaji wa Wizara ya Fedha na Mipango ili kupisha uchunguzi… Read More
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Willson Mahera***Na Mwandishi Maalum, DodomaTUME ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza Ratiba ya uchaguzi mdogo wa Ubunge wa Jimbo la Muha… Read More
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU WANACHUO WALIOKUWA WANASOMA STASHAHADA MAALUM YA UALIMU KATIKA CHUO KIKUU CHA DODOMA 1.0 UTANGULIZI Itakumbukwa kwamba tarehe 28 Mei, 2016… Read More
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-DodomaSerikali imetangaza rasmi mazao ya kuanzia yatakayouzwa kupitia mfumo maalumu wa uuzaji wa mazao wa Stakabadhi ghalani.Mazao hayo ni pamoja na zao la… Read More
Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa watumishi wa Umma[PSSSF] kuanzia Juni 1 hadi Julai 24,2019 umelipa kiinua mgongo kwa wastaafu elf… Read More