Maswayetu Blog · 16:54 01 Oct 2023
Cha Kamati Kuu Blog Posts
Maswayetu Blog · 08:52 03 Aug 2023
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo akiwahutubia Maelfu ya wananchi waliojitokeza katika mkutano wa hadhara Uwanja wa CCM Kirumba,jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.
********************… Read More
Maswayetu Blog · 17:51 22 May 2023
KAMATI mpya ya Ushauri wa Kisekta ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi (MUHAS) imetakiwa kutoa maoni na ushauri utakaowezesha kuboresha mitaala na uandaaji wa mitaala mipya itakayo… Read More
Maswayetu Blog · 10:51 17 Jun 2023
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Makamu wa Askofu Mkuu wa Kanisa la African Inland Church Tanzania (AICT) Dayosisi ya Shinyanga Zachayo Enock Bugota ameweka Jiwe la Msingi katika Nyumba ya… Read More
News - News Africa N… · 22:46 11 Apr 2023
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
SERIKALI imepongeza maendeleo ya ujenzi wa Kituo cha Umahiri wa Bidhaa za Ngozi na Teknolojia zinazoshabihiana (CELPAT) katika Taasisi ya Teknolojia Dar… Read More
Maswayetu Blog · 16:52 12 May 2023
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga, Fue Mrindoko na viongozi wa Jumuiya ya Wazazi CCM wilaya ya Shinyanga Mjini na kamati ya utekelezaji wakitembelea na kukagua ujenz… Read More
Maswayetu Blog · 14:52 04 May 2023
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga Jomaary Satura (kushoto) na Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga Mhe. Elias Ramadhani Masumbuko wakizungumza kw… Read More
Maswayetu Blog · 13:51 14 Feb 2023
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dk. Yahaya Nawanda akiongoza kikao cha RCC.Na Marco Maduhu, SHINYANGAKAIMU Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dk. Yahaya Nawanda, ameongoza kikao cha kamati ya ushauri… Read More
Maswayetu Blog · 15:51 01 Apr 2023
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, amesema nia kuu ya Wizara hiyo kwa sasa ni kufanya uhifadhi na kutangaza utalii kwa viwango vya kimataifa.
Dkt. Abbasi ameya… Read More
Maswayetu Blog · 13:51 10 Mar 2023
Mkurugenzi wa Mafunzo,Utafiti, Takwimu, na Uhamasishaji wa OSHA, Bw. Joshua Matiko akiwasilisha mada juu ya masuala ya usalama na afya mahali pa kazi katika kikao cha Baraza Kuu la TUCTA una… Read More
Maswayetu Blog · 07:51 12 Mar 2023
Mkutano wa wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu Mwakitolyo namba 5 wilayani Shinyanga wa kusoma mapato na matumizi.Na Marco Maduhu, SHINYANGAKIWANDA cha Uchenjuaji dhahabu (NAPOL ELUTION P… Read More
Maswayetu Blog · 07:52 26 Jan 2023
Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow akizungumza na Waandishi wa habari katika Mgodi wa Bulyanhulu. Kushoto ni Meneja wa Barrick Tanzania, Melkiory Ngido, kulia ni Naibu… Read More
Maswayetu Blog · 13:51 23 Dec 2022
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (Tanga Uwasa) Mhandisi Geofrey Hilly akionyesha katika ramani muonekano wa ujezi unaoendelea wa mradi wa kuboresha hali ya u… Read More
Maswayetu Blog · 11:54 12 Dec 2022
MKURUGENZI wa Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) Yusuph Nassor amechukua Fomu ya Kuwania Nafasi ya Mwenyekiti wa Klabu ya Simba katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Januari 29 Mwaka 202… Read More
Maswayetu Blog · 17:49 12 Feb 2020
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuujulisha umma wa wana CCM na watanzania kwamba Kamati Kuu (KK) ya Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) imeketi leo Jijini Dar es Salaam chini ya Ndg. John Pom… Read More
Maswayetu Blog · 12:51 23 Sep 2022
Mwanasiasa Mkongwe Khamis MgejaNa Mwandishi wetu -Kahama MWENYEKITI wa Taasisi ya Tanzania Mzalendo Foundation ya mjini Kahama mkoani Shinyanga, Khamis Mgeja amekitahadharisha Chama cha… Read More
Maswayetu Blog · 13:55 29 Apr 2021
Wajumbe Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi CCM, wakiwa wamesimama kwa muda wa Dakika moja kwa ajili ya kumkumbuka aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamh… Read More
Maswayetu Blog · 15:51 09 Jan 2022
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuanza mchakato wa kumsaka mrithi wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ambaye alijiuzulu tarehe 6 Januari mwaka hu… Read More
Maswayetu Blog · 10:51 12 Jul 2022
Kamishna Msaidizi Tume ya Madini Tanzania na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirikisho la vyama vya wachimbaji wadogo wa madini (FEMATA) Haroun Kinega (kulia) akimsikiliza Afisa Msimamizi wa Fedha w… Read More
Maswayetu Blog · 08:51 22 Jun 2022
Maandalizi ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022UtanguliziSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepanga kufanya Sensa ya Watu na Makazi ifikapo mwezi Agosti 2022. Wizara ya F… Read More
Maswayetu Blog · 22:51 08 May 2022
WAKATI Serikali ikiendelea na uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour,aliyoshiriki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan,kutangaza utalii nchini,aliyekuwa Mbunge wa Kahama mwa… Read More