Swali: Je sisi watu wa agano jipya ni lazima kuwa na vipindi vya kuombea mlimani?. Na je huko mlimani Mungu ndioko anakosikia Zaidi maombi kuliko chini?.. msaada! Jibu: Hakuna agizo lolote k… Read More
Na Okuly Julius-Dodoma
MKUU wa chuo cha mafunzo ya udereva cha Wide Institute of Driving jijini Dodoma, Faustine Matina ameishauri serikali kuweka mikakati ya kukomesha ajali nchini i… Read More
Na Okuly Julius-Dodoma
KATIKA kukabilia na ongezeko la ajali za barabarani nchini Chuo cha Udereva cha WIDE kwa kushirikiana na Serikali ya wilaya ya Chamwino wameanzisha programu ya m… Read More
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo,akizungumza wakati wa Kikao kazi cha kujadili usimamizi ya utafiti na maendeleo nchini kilichofanyika leo Julai 31… Read More
Dodoma Julai 19, 2023
Tume ya Madini imetoa siku saba kwa wamiliki wote wa leseni za madini zikiwemo leseni za utafutaji wa madini, leseni za uchimbaji mdogo, wa kati na… Read More
NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID
NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi amewataka waajiri kote nchini kuhakikisha wanalipa Micha… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi amelitaka Jeshi la Jadi Sungusungu kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi badala… Read More
Mahakama nchini Uganda imemuamuru msimamizi wa WhatsApp wa kundi moja kumrejesha mwanachama aliyemshtaki kwa kumfukuza kwenye kundi hilo.
Mwanaume mwenye hasira kutoka Uganda aliyetambulik… Read More
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeendelea na operesheni ya kukamata, kuharibu na kuteketeza dawa za kulevya aina ya bangi katika wilaya ya ARUMERU mkoani Arusha… Read More
KAMATI mpya ya Ushauri wa Kisekta ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi (MUHAS) imetakiwa kutoa maoni na ushauri utakaowezesha kuboresha mitaala na uandaaji wa mitaala mipya itakayo… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ameridhishwa na hali ya upatikanaji wa maji katika jimbo la Kibamba baada ya ziara ya mtaa kwa mtaa kwenye Kata ya Kwembe na Kibwegere na… Read More
Mmoja wa Maafisa kutoka NEMC akikagua baadhi ya taka za hospitalini zikiwa zimekusanywa katika kiwanda bubu cha kukusanya na kusaga chupa za plastiki eneo la Kisarawe II wilayani Kigamboni… Read More
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Pamba Tanzania (TCB), James Shimbe ambaye ni Mkurugenzi wa Huduma za Usimamizi TCB akizungumza na waandishi wa habari. Kushoto ni Afisa Kilimo Mwandamiz… Read More
Jeneza lililobeba mwili wa marehemu James Makungu SombiPicha iliyotumika kuaga mwili wa James Makungu SombiTAZAMA VIDEO AKIAGWA KIMILA...NI MAAJABUMwili wa marehemu James Makungu SombiMwili… Read More
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yahaya Nawanda akizungumza wakati wa Kikao cha Tathmini ya Utekelezaji Mkataba wa Lishe, Chanjo na Bima ya Afya kwa Wote kilichohudhuriwa na w… Read More
Na Renatha Kipaka, Bukoba
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Bukoba, Erasto Sima kushirikiana na Kamanda wa Jeshi la polisi mkoani humo, Wiliam Mwampaghale… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula akiongea na Makampuni pamoja na viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam walioshiriki kikao kazi cha kujadili utekelezaji wa progr… Read More
Ulishawahi kujiuliza ni nini Mungu anafundisha wana wa Israeli nyuma ya agizo hili? Tunalolisoma katika Kumbukumbu 22:6 “Kiota cha ndege kikitukia kuwa mbele yako njiani, katika… Read More
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Hamad Hassan Chande (Mb) akiwataka wataalamu wa maboresho makubwa ya Mfumo wa Ununuzi Serikalini, kuhakikisha wanamaliza kazi kwa wakati, alipofany… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf MkendaNa Dotto Kwilasa, DODOMA.SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imewataka wadau wa elimu nchini wana… Read More
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge la Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Naghenjwa Kaboyoka (kushoto) akizungumza na Wajumbe wa Kamati hiyo pamoja na Viongozi wa OSHA wakati mafunzo ya usal… Read More
Naibu Katibu Mkuu huyo wa CCM Bara Christina Mndeme (aliyesimama katikati akizungumza na wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Kasulu akiwa kwenye ziara ya kichama mkoani Kigoma.Naibu… Read More