Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

DON'T GET MARRIED TO A PERSON BECAUSE YOU WANT TO HELP HIM OR HER OR YOU FEEL SYMPATHY TO HIM OR HER | USIOE AU KUOLEWA KWASABABU YA KUMSAIDIA MTU FULANI AU KUMUONEA HURUMA | by PASTOR MITIMINGI

 Pastor Mitimingi
1. Kuoa au Kuolewa na Mtu kwasababu ya Kumuonea Huruma.
• Kuoa au kuolewa na mtu kwa sababu ya kumuonea huruma ni moja kati ya sababu zisizo sahihi. Na inaonekana kuwa ni sababu moja ya kijinga pia.
•Ndoa zianazo oana kwa misingi ya kumsaidia mtu au kumwonea mtu huruma huwa hazina maisha.

2. Huruma ya Kujiona kuwa ni wewe Ndio Unawajibika.
Getting married to a person for a reason that you are responsible to help him or her is unwise thing
Kumhurumia mtu na kujiona kuwa una wajibu wa kumsaidia ni vizuri, lakini kuolewa naye kwa sababu hiyo ni wazi kuwa ni jambo lisilo la hekima kabisa.

3. Ndoa ni yathamani Kuliko Huruma ya Mahusiano.
Marriage is more precious than relationship-based sympathy
• Ndoa ni kitu cha thamani zaidi kuliko mahusiano ambayo yamejijenga katika huruma.
Chukulia kwamba kama mhusika ana masaa sita tu kuishi baada ya ndoa. Kwa hiyo utaishi katika ujinga huo kwa masaa sita tu maana kinyume na hapo utaishi maisha yako yote ukiwa unajihisi mjinga zaidi na mwenye huzuni.
• Hiyo itakuwa ni sabau ya kuvunjika kwa ndoa hiyo kwa sababu utaonekana mbaya zaidi ya kabla hujaingia.

4. Kuoa au Kuolewa kwajili ya Kumsaidia Mtu Anayeteseka.
Don't get married to a person because you have decided to help that person
If you want to change your partner, do it before marriage and not after marriage
•Usioe au kuolewa na mtu eti kwasababu unaamua kumsaidia kutokana na shida Fulani.
• Mfano kuna baadhi ya watu utakuta mwanaume anaamua kumuoa msichana fulani eti kwasababu kule anakoishi wanamnyanyasa na kumtesa so anaamua amsaidie amuoe ili aishi naye.
• Hii ni sawa na ile ya ujinga wa kufikiri kwamba utaoa au kuolewa na mtu kwa matumaini kwamba utambadilisha mtu baada ya kuolewa au kumuoa ili afanane na wewe, dini yako au tamaduni zako.
• Kumbuka kwamba, kuwa na jitihada za kukubaliana sio kubadilika, sababu suala ndoa halina haja ya kuweka mabadiliko kwa mtu yeyote.
• Ukitaka kumbadilisha mwenzi wako usisubiri kwenda kumbadilishia ndani fanya hayo mabadiliko kabla ya kuingia ndani.




Unakaribishwa kutoa maoni yako kwani tunayathamini | You are warmly welcomed to share your precious comments


This post first appeared on Tanzania Gospel Networkâ„¢, please read the originial post: here

Share the post

DON'T GET MARRIED TO A PERSON BECAUSE YOU WANT TO HELP HIM OR HER OR YOU FEEL SYMPATHY TO HIM OR HER | USIOE AU KUOLEWA KWASABABU YA KUMSAIDIA MTU FULANI AU KUMUONEA HURUMA | by PASTOR MITIMINGI

×

Subscribe to Tanzania Gospel Networkâ„¢

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×