Pastor Suzanne BG Malisa
Huenda jana haikuwa siku nzuri kwako...huenda hukupata ulichokitarajia...Huenda ulikuwa na maumivu jana...Ninapenda kukutia moyo siku ya leo kuwa UNAWEZA...Inuka tena ukatimize kusudi lako leo...Jitie nguvu na usonge mbele.
Mungu yuko na wewe na atakusaidia leo.
▪Isaya 43:18-19