Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Ancelotti: Madrid itabeba ‘ndoo’ UEFA

MADRID, Hispania

MKUU wa benchi la ufundi la Real Madrid, Carlo Ancelotti, amesisitiza kuwa kikosi chake kina nafasi ya kutwaa taji la msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Madrid walikaribia kuishia hatua ya makundi kwenye michuano hiyo, kabla ya kuingia 16 bora kwa kuitandika Inter Milan mabao 2-0 usiku wa Jumanne ya wiki hii.

Licha ya hiyo, jeuri ya Ancelotti inatokana na kasi ya Madrid kwa siku za hivi karibuni, ambapo imeshinda mechi zote tisa zilizopita.

“Tuna ubora wa kutwaa La Liga na Ligi ya Mabingwa…” alisema kocha huyo akiongeza kuwa anafahamu udhaifu wa kikosi chake kwenye eneo la ulinzi.

The post Ancelotti: Madrid itabeba ‘ndoo’ UEFA appeared first on News Africa Now.



This post first appeared on News - News Africa Now, please read the originial post: here

Share the post

Ancelotti: Madrid itabeba ‘ndoo’ UEFA

×

Subscribe to News - News Africa Now

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×