Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Kocha mpya Yanga ajifunga mwaka mmoja na nusu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

Klabu ya Yanga leo imemtangaza Mohamed Nasreddin Al-Nabi kuwa kocha wao mpya na kuingianae kandarasi ya mwaka mmoja na nusu.

Tukio hilo limefanyika makao makuu ya klabu hiyo yaliyopo mtaa wa Jangwani na kuongozwa na Kaimu Katibu Mkuu wa klabu hiyo Haji Mfikirwa.

The post Kocha mpya Yanga Ajifunga Mwaka Mmoja na nusu appeared first on News Africa Now.



This post first appeared on News - News Africa Now, please read the originial post: here

Share the post

Kocha mpya Yanga ajifunga mwaka mmoja na nusu

×

Subscribe to News - News Africa Now

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×