Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

KOLABO YA ALICIA KEYS, DIAMOND YAUGUSA UBALOZI WA MAREKANI

KOLABO YA ALICIA KEYS, DIAMOND YAUGUSA UBALOZI WA MAREKANI

Facebook

Twitter

Google+

Pinterest

WhatsApp

Telegram

 CHRISTOPHER MSEKENA 

WIMBO Wasted Energy ambao staa wa Marekani, Alicia Keys, amemshirikisha Diamond Platnumz, umeendelea kufanya vizuri kiasi cha kuugusa Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania. 

Mapema jana Ubalozi wa Marekani ulitumia ukurasa wake wa Twitter kutoa ujumbe wa kufurahishwa na kolabo hiyo kwa kusema: “Inafurahisha kuona msanii wa Marekani Alicia Keys akimshirikisha msanii wa Kitanzania Diamond Platnumz, goma jipya la Wasted Energy ni moto.” 

Aidha, Alicia Keys ameshangazwa na mapokezi makubwa ya wimbo huo kwenye mtandao wa YouTube ambapo umesikilizwa mara nyingi zaidi kuliko ngoma yoyote kwenye albamu yake, ALICIA. 

Facebook

Twitter

Google+

Pinterest

WhatsApp

Telegram

Previous articleUpatikanaji taulo za kike vijijini utasaidia masomo
Next articleMeridian BET, Lions Club wawapiga tafu wazee Kinyerezi

The post KOLABO YA ALICIA KEYS, DIAMOND YAUGUSA UBALOZI WA MAREKANI appeared first on News Africa Now.



This post first appeared on News - News Africa Now, please read the originial post: here

Share the post

KOLABO YA ALICIA KEYS, DIAMOND YAUGUSA UBALOZI WA MAREKANI

×

Subscribe to News - News Africa Now

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×