HUENDA ikawa kweli Video Queen anayekimbiza Bongo, Agness Masogange amenasa ujauzito unaosemekana kuwa ni wa staa wa muziki kutoka Nigeria, Davido baada ya kuweka Picha tata mtandaoni. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Masogange aliweka picha ya Davido na kuandika im missing him; na baada ya sekunde kadhaa tena akaweka picha nyingine ilioonesha majibu ya ujauzito kuwa amenasa. Hata hivyo