Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

masogange kumzalia davido....???

HUENDA ikawa kweli Video Queen anayekimbiza Bongo, Agness  Masogange amenasa ujauzito unaosemekana kuwa ni wa staa wa muziki kutoka Nigeria, Davido baada ya kuweka Picha tata mtandaoni. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Masogange aliweka picha ya Davido  na kuandika im missing him; na baada ya sekunde kadhaa tena akaweka picha nyingine ilioonesha majibu ya ujauzito kuwa amenasa. Hata hivyo



This post first appeared on Mdodosaji, please read the originial post: here

Share the post

masogange kumzalia davido....???

×

Subscribe to Mdodosaji

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×