Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Basi la New Force Lapata Ajali na Kuua Watu 12

Watu 12 wamefariki dunia papo hapo baada ya lori la mbao Lililokuwa likitokea njombe kwenda Jijini Dar es Salaam kupasuka tairi na kugongana na basi la abiria la new force lililokuwa linatokea jijini Dar es Salaam kuelekea tunduma hii leo katika eneo la kitonga wilaya ya kilolo mkoani iringa. Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoa wa iringa, kamishina msaidizi wa polisi Ramadhani Mungi



This post first appeared on Mdodosaji, please read the originial post: here

Share the post

Basi la New Force Lapata Ajali na Kuua Watu 12

×

Subscribe to Mdodosaji

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×