Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Wanne wauawa katika mapigano Tabora...

Watu wanne wamekufa na wengine tisa wamelazwa katika Hospitali ya Wilaya hiyo mkoani Tabora, kutokana na mapigano kati ya wakulima na wafugaji, yaliyotokea katika Kijiji Cha Isakamaliwa wilayani Igunga.Mkuu wa Wilaya ya Igunga, Elibarik Kingu alitaja waliofariki ni Chawala Doke, Mohammed Msengi, Biblo Kingu na Peter Karongo, wote wakazi wa Kijiji cha Isakamaliwa. Mapigano hayo yalitokea juzi



This post first appeared on Mdodosaji, please read the originial post: here

Share the post

Wanne wauawa katika mapigano Tabora...

×

Subscribe to Mdodosaji

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×