Watu wanne wamekufa na wengine tisa wamelazwa katika Hospitali ya Wilaya hiyo mkoani Tabora, kutokana na mapigano kati ya wakulima na wafugaji, yaliyotokea katika Kijiji Cha Isakamaliwa wilayani Igunga.Mkuu wa Wilaya ya Igunga, Elibarik Kingu alitaja waliofariki ni Chawala Doke, Mohammed Msengi, Biblo Kingu na Peter Karongo, wote wakazi wa Kijiji cha Isakamaliwa. Mapigano hayo yalitokea juzi