Wakati Rais John Magufuli Akiwa Kwenye Zoezi La Kutumbua Majipu Kwenye Mamlaka Ya Mapato Tanzania (TRA) Na Mamlaka Ya Bandari Tanzania (TPA), Mshtuko Mkubwa Umetokea Kufuatia Kigogo Mwenye Wadhifa Wa Artsan One (TPA) Jijini Dar, Elia Eliampenda Kimaro (51) Kufariki Dunia Ghafla Kwa Shinikizo La Damu (Presha) Akiwa Nyumbani Kwake, Mikwambe, Kigamboni, Dar.Kimaro Alifariki Dunia Novemba 30,