Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Alichopost Nape Nnauye Asubuhi Hii

Baada ya jana Nape Nnauye kuzungumza na waandishi wa habari akiwa juu ya gari kufuatia mkutano wake aliokuwa ameuandaa kuzuiliwa usifanyike. Mkutano huo ulipangwa kufanyika ikiwa ni baada ya taarifa kutoka IKULU zilizotangaza kuvuliwwa uwaziri, sasa leo asubuhi kupitia accpout yake ya twitter Nape Nnauye ameyaandika haya…
‘Wanahabari mme GUSA sana moyo wangu!Sikujua kama mnanipenda na kunithamini kiasi KILE!Nawashukuru SANA kwa kujitolea kwenu!Nawapenda SANA!’
Wanahabari mme GUSA sana moyo wangu!Sikujua kama mnanipenda na kunithamini kiasi KILE!Nawashukuru SANA kwa kujitolea kwenu!Nawapenda SANA! pic.twitter.com/MjXwt3ZC0M
— Nape Moses Nnauye (@Nnauye_Nape) March 24, 2017



This post first appeared on HABARI ZA SIASA NA MUZIKI, please read the originial post: here

Share the post

Alichopost Nape Nnauye Asubuhi Hii

×

Subscribe to Habari Za Siasa Na Muziki

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×