Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Alichokiandika Mwigulu Nchemba kuhusu tukio la kutolewa Bastola Nape Nnauye

Baada ya Nape Nnauye kuzuiliwa kufanya mkutano na waandishi wa Habari kisha kutolewa Bastola Mbele ya waandishi wa habari na kurudishwa kwenye gari.
Tukio hilo liliendelea kuwa mjadala kwenye mitandao ya mbalimbali ya kijamiii ambapo leo March 24 20017 Waziri wa mambo ya ndani ya Nchi,
Mwigulu Nchemba ameyaandika haya baada ya tukio hilo.
‘Mh.Nape Moses Nnauye sio jambazi, ni mtanzania, ni mbunge, mjumbe wa NEC wa CCM, hana record ya uhalifu. Kitendo cha mtu kumtolea Bastola, Sio cha kiasikari, sio cha kitanzania na sio cha ki Mungu, kama mtu ameweza kutoa Bastola mbele ya Kamera nawaza mbali ingekuwa kwenye uchochoro angefanya nini’
“Nahusika na Usalama wa Raia wote wa Tanzania, nimemwelekeza IGP atumie picha kumsaka mtu yule aliyeinua kufanya kitu cha kihalifu kwa kofia ya uaskari. Na kama ni Askari basi sheria zinazoongoza taasisi husika zichukue mkondo wake- Mwigulu



This post first appeared on HABARI ZA SIASA NA MUZIKI, please read the originial post: here

Share the post

Alichokiandika Mwigulu Nchemba kuhusu tukio la kutolewa Bastola Nape Nnauye

×

Subscribe to Habari Za Siasa Na Muziki

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×