Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Maneno ya Nape baada ya taarifa ya kutumbuliwa Uwaziri asubuhi hii

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli amefanya Mabadiliko madogo kwenye baraza la Mawaziri ambapo sehemu ya mabadiliko hayo ni kumteua Waziri mpya wa Habari, Sanaa, Utamaduni na michezo… na Taarifa kamili ndio hii hapa chini kutoka IKULU.
Aliyekuwa Waziri wa Habari Nape Nnauye ameandika kupitia account yake ya Twitter ‘Ndugu zangu naomba TUTULIE! LEO mchana nitakutana na Wanahabari na tutalizungumza hili. Nitawaambia saa na mahali, kwasasa naomba TUTULIE!’



This post first appeared on HABARI ZA SIASA NA MUZIKI, please read the originial post: here

Share the post

Maneno ya Nape baada ya taarifa ya kutumbuliwa Uwaziri asubuhi hii

×

Subscribe to Habari Za Siasa Na Muziki

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×