Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Kilichoandikwa na TFF baada ya Mwakiyembe Kupewa Dhamana Ya Michezo

Baada ya taarifa ya IKULU leo March 23, 2017 kuhusu mabadiliko yaliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli kwenye Baraza la Mawaziri ambapo Dr. Harrison George Mwakyembe amechukua nafasi ya aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye, Shirikisho la Soka Tanzania TFF limempongeza Mwakyembe.
“TFF linampongeza Dk. Mwakyembe kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mola na ambariki na kumuongoza. Amina.” – TFF
TFF linampongeza Dk. Mwakyembe kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mola na ambariki na kumuongoza. Amina.



This post first appeared on HABARI ZA SIASA NA MUZIKI, please read the originial post: here

Share the post

Kilichoandikwa na TFF baada ya Mwakiyembe Kupewa Dhamana Ya Michezo

×

Subscribe to Habari Za Siasa Na Muziki

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×