Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Ujumbe Wa Bashe Baada Ya Taarifa Ya Ikulu

Leo March 23, 2017 kumefanyika mabadiliko katika Baraza la Mawaziri ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison George Mwakyembe kuongoza Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambayo ilikuwa chini ya Nape Nnauye .
Baada ya mabadiliko hayo watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa wamekuwa wakilizungumzia hilo katika page zao za mitandao ya kijamii miongoni mwao ni Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe ambaye aliamua kuandika ujumbe kupitia account yake ya Twitter huku akimtaka Nape Nnauye kutovunjika moyo.
Bashe ameandika>>> “Karibu back bench tutumikie Taifa letu, Majimbo yetu na Chama chetu usivunjike moyo. It’s just beginning of a New journey.”
Karibu back bench tutumikie Taifa letu, Majimbo yetu na Chama chetu usivunjike moyo. It's just beginning of a New journey. @Nnauye_Nape
8:25 AM - 23 Mar 2017
213 463
Hussein M Bashe
@HusseinBashe
You will never walk Alone, I know you, we know you, Justice will prevail no matter how long it will take. @Nnauye_Nape
8:23 AM - 23 Mar 2017



This post first appeared on HABARI ZA SIASA NA MUZIKI, please read the originial post: here

Share the post

Ujumbe Wa Bashe Baada Ya Taarifa Ya Ikulu

×

Subscribe to Habari Za Siasa Na Muziki

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×