Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Mchungaji Peter Msigwa wa Chadema Aposti maneno haya Baada ya Nape Kutumbuliwa Leo Asubuhi.

Mchungaji Peter Msigwa Leo Kupitia Ukurasa wake wa Twitter Ameweka azi jinsi alivyolipokea suala la Aliyekuwa WAZIRI wa Habari sanaa,Utamaduni na Michezo Mhe Nape Nnauye Kutumbuliwa na Rais Magufuli.
Kwa Magufuli bashite ni mhimu na ni bora kuliko Nape ndani ya chama na serikali! Hongera JPM!



This post first appeared on HABARI ZA SIASA NA MUZIKI, please read the originial post: here

Share the post

Mchungaji Peter Msigwa wa Chadema Aposti maneno haya Baada ya Nape Kutumbuliwa Leo Asubuhi.

×

Subscribe to Habari Za Siasa Na Muziki

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×