Mkurugenzi Mtendaji wa makampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Ltd (MeTL Group) Mohammed ‘MO’ Dewji Ameshinda Tuzo ya Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) Bora wa Mwaka wa Afrika 2017.
Tuzo hizo hutolewa na Jukwaa la Wakurugenzi Watendaji Afrika ‘Africa CEO Forum’ akiwashinda CEO wa BUA
Group Abdulsamad Rabiu, CEO wa
Cevital Issad Rebrab, CEO wa OTMT Investments Naguib Sawiri s. Wengine aliowashinda kwenye tuzo hiyo ni CEO wa Bakhresa Group, Said Salim Awadh Bakhresa na CEO wa Econet Strive Masiyiwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Mohammed Enterprises (MeTL Group) Mohammed ‘MO’ Dewji ameshinda tuzo ya Afisa Mtendaji Mkuu 'CEO' Bora wa Afrika 2017