Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Mohammed Dewji ameshinda tuzo ya CEO Bora wa Afrika 2017

Mkurugenzi Mtendaji wa makampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Ltd (MeTL Group) Mohammed ‘MO’ Dewji Ameshinda Tuzo ya Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) Bora wa Mwaka wa Afrika 2017.
Tuzo hizo hutolewa na Jukwaa la Wakurugenzi Watendaji Afrika ‘Africa CEO Forum’ akiwashinda CEO wa BUA
Group Abdulsamad Rabiu, CEO wa
Cevital Issad Rebrab, CEO wa OTMT Investments Naguib Sawiri s. Wengine aliowashinda kwenye tuzo hiyo ni CEO wa Bakhresa Group, Said Salim Awadh Bakhresa na CEO wa Econet Strive Masiyiwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Mohammed Enterprises (MeTL Group) Mohammed ‘MO’ Dewji ameshinda tuzo ya Afisa Mtendaji Mkuu 'CEO' Bora wa Afrika 2017



This post first appeared on HABARI ZA SIASA NA MUZIKI, please read the originial post: here

Share the post

Mohammed Dewji ameshinda tuzo ya CEO Bora wa Afrika 2017

×

Subscribe to Habari Za Siasa Na Muziki

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×