Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Zitto: Uvamizi wa Makonda Unabaraka za Rais, amwaga Ushahidi wake

Tags: rais maalumu

"Nimefahamishwa kuwa waliomsindikiza RC wa Dar Clouds Media ni walinzi Maalumu ambao kibali cha kuwatumia hutolewa na Rais au DG Usalama .
Kuna ulazima wa kuwapo Kwa uchunguzi Wa kibunge wa matumizi ya kikosi maalumu cha kumlinda Rais. Ni jambo baya na halivumiliki hata kidogo"



This post first appeared on HABARI ZA SIASA NA MUZIKI, please read the originial post: here

Share the post

Zitto: Uvamizi wa Makonda Unabaraka za Rais, amwaga Ushahidi wake

×

Subscribe to Habari Za Siasa Na Muziki

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×