Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Diamond: Mwandishi ukiniandika kwa ubaya unapoteza muda wako

CEO wa Wasafi, Diamond Platnumz amedai kuwa kitendo cha baadhi ya watangazaji na waandishi kushikilia kumzungumzia na kumuandika kwa Mambo mabaya, cha kujipotezea muda kwao.
Kwenye exclusive interview na Prince Ramalove kupitia Kings FM, Diamond Alifafanua kauli yake ya kusema kuwa yeye hategemei Redio wala TV pindi anapotoa nyimbo zake kwa sasa.
“Unajua kwamba kuna kiwango unapofikia,unapokuwa na mashabiki wengi,lazima uongeze ufanisi wako wa usambazaji wa kazi zako.Tuna redio tuna TV, lakini pia lazima tuongeze namna zingine za kupromote kazi zako,” amesema Diamond.
“Wasanii wanatakiwa wajiongeze, sasa naona kuna watu wameichukua tofauti na kuipindua kumtengenezea mtu baya,lakini wanapoteza muda.”
Diamond ameongeza kuwa yeye anaheshimu vyombo vya habari na hata kama kuna watu wanadai amefika alipo kwa mchango wao, yeye anaheshimu pia.



This post first appeared on HABARI ZA SIASA NA MUZIKI, please read the originial post: here

Share the post

Diamond: Mwandishi ukiniandika kwa ubaya unapoteza muda wako

×

Subscribe to Habari Za Siasa Na Muziki

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×