Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Nuh Mziwanda Apata Mtoto Wa Kike

Nuh Mziwanda na mkewe Nawal wamefanikiwa kupata mtoto wao wa kwanza wakike.
Akiongea kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM, muimbaji huyo amesema kuwa mke wake amejifungua jana usiku na tayari wamempatia jina la Anyagile.
Nuh na Nawal walifanikiwa kufunga ndoa mwezi Novemba mwaka jana. Wakati huo huo hitmaker huyo wa Jike Shupa ameachia wimbo wake mpya uitwao ‘Anameremeta’.



This post first appeared on HABARI ZA SIASA NA MUZIKI, please read the originial post: here

Share the post

Nuh Mziwanda Apata Mtoto Wa Kike

×

Subscribe to Habari Za Siasa Na Muziki

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×