Bangi na Strungi ni kitu mbaya sana,watu wa pwani mko wapi?
Fala na Otoyo baada ya kiamsha kinywa cha bangi na strungi, waliliona embe juu ya mti wakaamua
kulipopoa.Wakarusha mawe mengi sana bila kufanikiwa kuliangusha lile embe.
Related Articles
Fala akasema; hebu ngoja isije ikawa embe lenyewe bichi, wacha nipande juu nikalicheki.
Baada ya dakika 5, Fala akashuka chini,akamwambia
Otoyo; nimelibonyeza na limeiva vizuri kabisa,tuendelee kulipopoa mawee!!!
This post first appeared on Memorable Jokes: Humor, Jokes And Funny Pictures, please read the originial post: here